Gaaadeemm!!!..Hebu muangalieni 50 Cent alivyokata weight kwa sababu ya filamu.

Gaaadeemm!!!..Hebu muangalieni 50 Cent alivyokata weight kwa sababu ya filamu.

Kama ku ''lose weight'' ndo vile, bora niendelee kutunza kitambi changu!

That's too much banaaaa
 
Kama ku ''lose weight'' ndo vile, bora niendelee kutunza kitambi changu!

That's too much banaaaa

Analoose kwa ajili ya movie inayoitwa Things Fall Apart lakini haihusiani na kitabu cha jina hilo hilo. Anacheza cancer patient kwenye movie.

Christian Bale naye alifanyaga kwenye The Machinist
baleweight.jpg
 

Attachments

  • baleweight.jpg
    baleweight.jpg
    21 KB · Views: 87
Duh, is this 50% au wanatuzuga Mazee! Halafu Baada ya Miezi michache Msela anarudi katika Hali yake ya Kawaida duh Kweli Wanugu Hamnazo
 
Analoose kwa ajili ya movie inayoitwa Things Fall Apart lakini haihusiani na kitabu cha jina hilo hilo. Anacheza cancer patient kwenye movie.

Christian Bale naye alifanyaga kwenye The Machinist
baleweight.jpg

Unapoamua loose weight kama hivi inabidi uwe umecheck afya kama imesimama maana mzee kama ndo tayari na ukawachokoza wale VVU, ndo safari kwa baba inakuwa imewadia
 
Unapoamua loose weight kama hivi inabidi uwe umecheck afya kama imesimama maana mzee kama ndo tayari na ukawachokoza wale VVU, ndo safari kwa baba inakuwa imewadia
...Dah! Sasa kama huyu Cristian Bale kwa mtindo huo hata kama ndio kazi mbona noma sana utadhani mgonjwa wa ngwengwe!!!:yuck:
 
<table style="width: 491px; height: 277px;" border="0" cellpadding="0" cellspacing="0"><tbody><tr><td colspan="3" style="padding-left: 10px; padding-top: 5px; width: 491px;">:becky:
</td> </tr> <tr style="background-color: rgb(225, 225, 225); padding-top: 10px;"> <td style="width: 250px; padding-left: 5px; padding-bottom: 5px; padding-top: 5px;" valign="top">
4544298.jpg

50 Cent alivyo sasa</td> <td style="padding-left: 10px; width: 316px;" valign="top"> Friday, May 28, 2010 3:15 AM
Kwa kuiangalia picha yake unaweza usiamini na hata utakapoambiwa hii ni picha ya 50 Cent jinsi alivyo sasa unaweza usiamini, lakini ukweli ni kwamba picha hii ni ya 50 Cent kama alivyo sasa baada ya kupungua kilo 25 ndani ya wiki 9.</td> </tr> <tr> <td colspan="3" style="vertical-align: top; width: 491px;"> Picha mpya za mwanamuziki milionea wa Marekani 50 Cent zimetolewa na kuwafanya watu wabaki midomo wazi kwa jinsi ambavyo imekuwa vigumu kumtambua kwa jinsi alivyopungua kilo 25 ndani ya wiki tisa.

50 Cent amejikondesha kwa kunywa maji na juice pekee ili aweze kuigiza kwenye filamu mpya ambayo jikoni ambayo inamuelezea nyota wa mpira wa miguu ambaye anaugua ugonjwa wa kansa.

50 Cent ambaye ana umri wa miaka 34 amekonda sana na amepungua uzito wake toka kilo 97 hadi kilo 72.

50 Cent amejikondesha ili kuleta uhalisia wa mgonjwa wa kansa katika filamu ya "Things Fall Apart", filamu hiyo 50 Cent ndiye nyota wa filamu na prodyuza msaidizi.

Wakati picha mpya za 50 Cent zilipowekwa kwenye mitandao jana watu wengi waligoma kuamini na kusema kwamba picha hizo ni uzushi tu wa kwenye mitandao.

Lakini 50 Cent ambaye jina lake halisi ni Curtis Jackson alijitokeza na kuthibitisha kuwa picha hizo ni za kweli.

50 Cent alisema kuwa baada ya kumaliza kuigiza kwenye filamu hiyo ataanza kula kama kawaida kurudisha mwili wake wa zamani.


50 Cent Choka Mbaya, Ukimuona Huwezi Kumtambua

1035.jpg





1033.jpg


50 Cent alivyokuwa zamani <table style="width: 209px;" border="0" cellpadding="0" cellspacing="0"><tbody><tr> <td style="width: 300px;"> </td> </tr> <tr> </tr></tbody></table>
KAPUNGUZA UNENE AMEKUWA KAMA MWENYE UGONJWA WA UTAPIA MLO EHHHHHHH
</td></tr></tbody></table>
 
Meeen!!!! amekuwa kama mjomba wa madongo kwinama. Kumbe, bringbring za mbele, zinatokana na misosi tu. Wabongo tujifunze mambo ya dayati hapo. sio unabadilisha kipashio tu, kila siku wali au ugali/maharage/nyama
 
Mimi sijaelewa kwani ukikonda na TATOO zinakonda? Mbona sizioni maana alikuwa na tat's mkono wote wa kulia kuanzia begani mpaka juu kidogo ya sehemu ya kuvalia saa.

Ila kwa kweli pesa ilimfanya mbwa kucheza
 
the movie better be good,otherwise,the effort is useless and meaningless!

anatisha mnooooooooooooooooooooooooo!!!!!!!!
 
That shows jinsi wenzetu walivyo serious na kazi zao, bongo ukiambiwa konda unanenepa, ukiambiwa nenepa basi unavimbisha tumbo tu

Mkuu umenichekesha sana.....

nakubali na nimekugongea thanks...

bongo mambo yetu kinyumenyume tu...leo nimecheka eti wachezaji wa taifa stars kutufuta machozi ya
kufungwa na rwanda kwenye CHAN kwa wao kuifunga brasil..tujaalie wanaifunga brasil..tutapata nini?!!! maan
brasil wako mazoezini si kwenye mashindano...yaani tumeacha kuweka mkazo kwenye mechi ya mashindano dhidi
rwanda tunakomaa na brasil...

haya....Tanzania ni zaidi ya uijuavyo...
 
Mimi sijaelewa kwani ukikonda na TATOO zinakonda? Mbona sizioni maana alikuwa na tat's mkono wote wa kulia kuanzia begani mpaka juu kidogo ya sehemu ya kuvalia saa.

Ila kwa kweli pesa ilimfanya mbwa kucheza

Amefuta tattoos.
 
nooooooooooooooo. atakuwa na ngoma. alivyokuja bongo nasikia alionekana maeneo ya Manzese Uwanja wa fisi na TOTOZ
 
Jamani huyo mkaka simpendii!!

Hijalishi!! Hata hivyo hakuna anayependwa na wote, najua wewe mwazani ni mrembo lakini si wote wanaokupenda kivile, wengine wanakuona kama..............!!
 
Hapo lazima wamatumbi tujifunze kuwa hakuna linaloshindikana. Inahitaji Seriousness, Mipango madhubuti na kujituma. Pia tusisahau elimu maana nilisoma makala moja kuwa jamaa alitumia wataalamu kadhaa ili kufikia lengo husika na kumfanya asiathirike kisaikolojia wala kiafya.
Kwa mmatumbi hii ni Etravagance.....!
 
Mimi sijaelewa kwani ukikonda na TATOO zinakonda? Mbona sizioni maana alikuwa na tat's mkono wote wa kulia kuanzia begani mpaka juu kidogo ya sehemu ya kuvalia saa.

Ila kwa kweli pesa ilimfanya mbwa kucheza

Tatoo alishaziondoa anadai alikuwa anatumia muda mwingi kuapply makeup kuzificha, alikuwa na movie ambayo hakutakiwa kuwa na tatoo. Sikumbuki jina la hiyo movie hivyo sina uhakika kama ni hii au la.
 
Hakuna cha umakini wala nini ni ukichaa na uroho wa pesa!!!!
 
Back
Top Bottom