Gabon: Benki ya Dunia yasitisha Mikopo na Ruzuku baada ya Serikali kushindwa kulipa Madeni ya awali

Gabon: Benki ya Dunia yasitisha Mikopo na Ruzuku baada ya Serikali kushindwa kulipa Madeni ya awali

Mkuu siyo Gambia Yahya Jameh ni Gabon ya Omar Bongo.

Yani inasikitisha nchi tajiri yenye raia wachache na mafuta, misitu na almasi.

Ila familia ya Omar Bongo na aliyekuwa rais wa ufaransa Jacques Chirac waliifilisi Gabon.
Mimi sijaongelea Gambia labda umesoma ukiwa na stress.
 
Hizi Nchi za Afrika ni fukara sana, na Hawa Wana Mafuta kabisa sijui wanakwama wapi.
Inawezekana viongozi wao wanayanywa kama juice same kwetu umeshawahi sikia gas ya mtwara inachangia kiasi gani kwenye pato la taifa zaidi zaidi utasikia tuweke tozo kwenye simu🤣🤣🤣🤣africaaa ni nyokooo
 
Benki ya dunia imesimamisha haki ya Gabon kupewa mikopo na ruzuku kuanzia Julai 1 kutokana na kushindwa kulipa madeni yake ya zamani, barua ambayo Reuters imeiona imethibitisha hilo Jumatano.

Taifa hilo la Afrika ya kati kwa sasa linalipa takriban mikopo 11 ya Benki ya dunia, kulingana na tovuti ya benki hiyo.

============

LIBREVILLE, Gabon, July 3 (Reuters) -The World Bank has suspended Gabon's right to make loan and grant withdrawals from July due to nonpayment of outstanding obligations, a letter seen by Reuters showed on Wednesday.

The Central African country is currently repaying at least 11 World Bank Group loans, according to the bank's website. The World Bank has agreed to loan or grant Gabon more than $1 billion since 2012, disbursing more than $700 million.

The bank said in the letter that overdue payments totalled around $17 million as of June 30.

A World Bank spokesperson said it was regrettable that an official letter had found its way to the media. The suspension of disbursements is a procedure provided for in financing agreements, the spokesperson said.

"In the case of Gabon, we are confident that the authorities will take steps to regularize the situation as soon as possible," the spokesperson said in a statement.

Active World Bank projects in Gabon include public health, skills development and statistics projects, according to its website.

A junta seized power in Gabon in August last year, ousting President Ali Bongo. It was the eighth coup in three years in the West and Central African region.

The ministry of public accounts said the government had been informed about the World Bank's decision and that the payment delay was due to technical reasons.

The ministry "has already paid these outstanding debts, and all outstanding debts to other multilateral creditors are in the process of being paid and should be completely cleared within the next few days," it said in a statement.

It added that the transition government had inherited considerable debt and has taken necessary steps to resolve this.
Yaani Wameshindwa kulipa Bil.40? 😂😂😂😂

Ufukara uliopitiliza
 
Back
Top Bottom