Gabon: Jeshi lamtangaza Jen. Nguema kuwa Rais wa Mpito, alikuwa Kiongozi wa Kikosi cha Ulinzi wa Rais

Hivi kupindua serikali ni kumuondoa rais kwenye kiti chake ukakikalia hapo hapo jeshi la nchi linakuheshimu na kukupa ulinzi au ni Nini huwa kinafanyika?
 
Wanajeshi saba wamefanya mapinduzi huko gaboni sisi sijui tunakwama wapi

Mimi naamini kikosi kimoja tu nchi hii kikitangaza kufanya mapinduzi hakuna mwanajeshi atayeendelea kulinda utawala huu
Hahaha CCM wote wata harisha damu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…