Gabriel Gerald Geay ashika nafasi ya pili, 10K Atlanta nchini Marekani

Gabriel Gerald Geay ashika nafasi ya pili, 10K Atlanta nchini Marekani

Melubo Letema

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2020
Posts
416
Reaction score
414
Mwanariadha wa Kimataifa wa Tanzania Gabriel Gerald Geay amezidiwa sekunde chache na Mkenya na kuwa kwenye nafasi ya pili, kilomita 10 kwa muda wa dakika 27:43 ambapo ni muda bora kuliko wa siku chache zilizopita alizokimbia Boston B.A.A 10K na kutumia muda wa dakika 27:49.

Mashindando hayo yamefanyika Atlanta Georgia nchini Marekani leo tarehe 4/07/2023 ,mbio hizo zinakwenda kwa jina la “The Atlanta Journal-Constitution Peachtree Road Race” zilikuwa za ushindani mkubwa.

Tatu bora ni Mkenya, Mtanzania na Muethiopia.

IMG_2378.jpeg

72259d63-4426-402e-acc3-aa46798c0377.jpeg

IMG_2381.jpeg

Pia soma: Mwanariadha Gabriel Geay wa Tanzania awa tishio mbio za Boston marathon 17 April 2023
 
Mwanariadha wa Kimataifa wa Tanzania Gabriel Gerald Geay amezidiwa sekunde chache na Mkenya na kuwa kwenye nafasi ya pili, kilomita 10 kwa muda wa dakika 27:43 ambapo ni muda bora kuliko wa siku chache zilizopita alizokimbia Boston B.A.A 10K na kutumia muda wa dakika 27:49.

Mashindando hayo yamefanyika Atlanta Georgia nchini Marekani leo tarehe 4/07/2023 ,mbio hizo zinakwenda kwa jina la “The Atlanta Journal-Constitution Peachtree Road Race” zilikuwa za ushindani mkubwa.

Tatu bora ni Mkenya, Mtanzania na Muethiopia.


Pia soma: Mwanariadha Gabriel Geay wa Tanzania awa tishio mbio za Boston marathon 17 April 2023
Sawa
 
Hongera kijana wetu.

Ngoja tuwaambie DP World Tanzania wawe sponsor's wako. Maana DP World wana sponsor michezo mingi ya Kimataifa duniani.



Nchi ikiwa na kiongozi mwenye nia njema mambo mengi huwa na baraka na kufunguka.

Heko Jibril, Heko Tanzania, Heko Mama Samia.
 
Back
Top Bottom