nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,379
- Thread starter
- #41
Haa wapi...Wema anaonekana mkubwa kwa Diamond...wakati ukute ni vice versa...
Hata. Wema na diamond..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata. Wema na diamond..
Kwa kweli ni mzuri sana .
kuanzia sasa naanza kunywa maji zaidi napunguza "rekorderling cider" lol :cool2:
Ally kiba na madame Rita..haha
Unawasikiliza mastar uongo ndo kwao. Nilimuona kendra akihangaika kuondoa tumbo baada ya kujifungua, diet na mazoezi havikufua dafu. Ilibidi tu akafanye tummy tuck. Na ujue baby tummy ni genetical pia, kuna mtu anaongezeka makalio tu.
sasa huyu anasema hadi nywele zimeimprove. Anaongelea weaving? They do a lot of stuff which they never tell. But she is beautifully, mi nataka formulae ya tina turner, manake hofu yangu ni kutovaa high heels by 60 yrs of age
Kwi kwi kwi kwi lol!!!!! hahahahaa njembas zikawa zinasema wanaume wengine hapa duniani wana bahati sana.
Mhhh...I will go for gallon la maji a day
Kama ni protein zinapatikana hata kwenye mayai...
ila nshawahi sikia sana hiyo theory...
Watu mna utani...eeehhhh ila madame Ritha ukimuona Live ni anaonekana mdogo na mzuri sana...pichani anaonekana umri umeenda...
Ni mmoja ya wasiovaa mawigi kila wakati kama Bey...na hata make ups yeye kwake siyo daily...na bado ana look stunning
cheki hiyo
![]()
nyumba kubwa huyu Wade umemkubali sana naona..
I am just too curious about this swallowing business! Hivi inamsaidiaje mwanaume? I mean, like inamfanya ajisikie kupendwa zaidi ama? Well, you dont have to answer this best hahaha
Aahhh The Boss bana usilete wivu...hakufikii hata robo huyu...
Nimemuingiza Wade kwenye mada baada ya mdau kuja na comment kuwa anabaka katoto...
You are not only my number one (Diamond 2014) but also the only one... bana...
Raha ya kukunwa aijuaye ni yule anayekunwa si mkunaji 🙂🙂
Maneno ya mrembo:
I am often complemented on my beautiful glowing Nubian skin on a daily basis. However, I always reply a little kinky giggle while saying thank you, because only if folk knew its because my husband feeds me his rich protein every week. Yep, I suck and swallow every drop.
Maneno ya njembas:
That's one blessed man.
Do you have any sisters if so I'm trying to be part of the family
Unapenda kumeza I guess..Wengine hawawezi .Hebu meza bwana, kama vipi unaweka kipande cha limau kwenye bedside hapo. Unshushia kama tequilla teh teh. Utaibiwa!
Glad to hear that..babe..
Aahhh The Boss bana usilete wivu...hakufikii hata robo huyu...
You are not only my number one (Diamond 2014) but also the only one... bana...
Mweeh, ile mchakato ya kuchambua cv imeshaisha na The Boss ndo kashinda? Kweli wabongo mmeshindikana kwa upendeleo hehehe. Haya bossman, umezwe salama
The Boss alishinda miaka ya nyuma...contract inakaribia kuisha; ndio nimeadvertize hivo...
ndio namwambia umri unaweza kumleti dawni...
Maana kwa ushauri wa Gabrielle the man should be real young...huyu the Boss keshakula chumvi nyingi...
Hahaha!
sisters who swallow? They wouldnt share such details. Na ww tuma cv niazime ile software ya nyumba kubwa tumtafutie sister provider wa protein. Who doesn't want to stay younger heey?
Ngoja nianze harakati za kujipunguza umri Hahaaaa