Gabrielle Union Reveals Her Secret to Staying Younger

Gabrielle Union Reveals Her Secret to Staying Younger

meza bana, unalamba chumvi na limao kama imekula 'muscles'
Yummy!!


I am just too curious about this swallowing business! Hivi inamsaidiaje mwanaume? I mean, like inamfanya ajisikie kupendwa zaidi ama? Well, you dont have to answer this best hahaha
 
Hehehe. Vigezo na masheriti kuzingatiwa. The Boss anasahau kuwa gari bovu linavutwa na gari zima. Atafute na yeye youngsters bwana
The Boss alishinda miaka ya nyuma...contract inakaribia kuisha; ndio nimeadvertize hivo...

ndio namwambia umri unaweza kumleti dawni...

Maana kwa ushauri wa Gabrielle the man should be real young...huyu the Boss keshakula chumvi nyingi...
 
Last edited by a moderator:
Muambie nyumba kubwa hapo, mie siri ya wide hips and side behind ni hiyo. Na situmii limbwata, ukiona paw ananifulia kofuli na kuniletea supu in bed ndo hapo hapo. Tena ukiwa na cherries hapo unatafunia kabisa.

by the way, it also keep yourteeth stronger. Google that at your own risk
meza bana, unalamba chumvi na limao kama imekula 'muscles'
Yummy!!
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha ha, bora kuwa kibogoyo.

Kwa jinsi nilivyo flat skrin, kama inaongeza naweza kujipaza tu, sio kumeza.

Muambie nyumba kubwa hapo, mie siri ya wide hips and side behind ni hiyo. Na situmii limbwata, ukiona paw ananifulia kofuli na kuniletea supu in bed ndo hapo hapo. Tena ukiwa na cherries hapo unatafunia kabisa.

by the way, it also keep yourteeth stronger. Google that at your own risk
 
Last edited by a moderator:
1 Us Gallon=3.78541 Litres watu wasije wakaogopa buure, wasije wakaogopa watu kunywa maji buuree..
 
Huku sasa wadada wanaikataa sana miaka ya kuanzia 30+ utasikia kila mtu ni 26 mpaka unajiuliza mkia huwa inasimama au kurudi nyuma?


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
I really like her smile. I can watch a movie jus to see her smiling!
Khs kunywa maji na protein shakes, ni kweli.
Maji yanaondoa sumu mwilini na kuziongezea seli nguvu na kuziwekea mazingira mazuri ya pH zifanye kazi zake vizuri.
Kazi ya protein ni kujenga mwili. In a sense that cell za binadamu huwa zinakufa daily, na inahitajika proteins na vitamins na vyakula bora kuziba mapungufu hayo. The Boss, na wengine. Waswahili tunazeeka kwa kula vyakula vya wanga, vinavyoongeza nguvu na kunenepesha sababu protini zenyewe huwa ni gharama.
Mayai, samaki, nyama za kuku nk ni kama anasa.
Tuacheni tuzeeke!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom