Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Malipo ya kushindana na RAO mwenye chama kina Wabunge na maseneta wengi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23] mwepesi takataka ana bilioni 109 net worth? ..basi sawa. [emoji23]Gachagua mwepesi kama takataka tu
Hakufanya kwa ajili ya kushinda. Subiri 2027 utagundua ni kwa nini aliamua kufanya alivyofanya. Unafikiri Ndondo Nyoro ni mjinga kukaa kimya? Kikuyus never forget and they never forgive. Raila is not a trusted ally. Ask Uhuru, Kalonzo or Kibaki. Also go and ask Moi they all know his treacherous he can be. He won't stay long with Ruto. Wait and see!Nadhani jamaa hajui siasa kabisa
Mm aliposhupalia eti kujitetea nilijua amenunua wabunge kumbe hajui Raila ni mnafiki alishauza upinzani sasa kapigwa na hata mahakama itamtosa tu
Nimkuelewa vyema.Tanzania hakuna wa kukufukuza, waanaandika barua ya kujiuzuru kwa niaba yako halafu stahiki zote unaenda nazi.
Hata ukifukuzwa bado stahiki utaenda nazo hadi kaburini, hata kaburi litapewa ulinzi.
Baada ya impeachment kukamilika atashitakiwa Kwa ufisadi..Baada ya kura za Maoni bungeni alipashwa kujiuzuru na kuwatafuta wazee wa katibu na Ruto waombe mambo yasiwe mengi..kushupaza kwake shingo ndio anguko lake kuu. I bet at last ataitafuta nafasi ya kutengeneza na RutoIla kwa pesa alizoiba. Hizo stahiki ni chenji Tu.
Ruto ni mwamba Raila akijaribu kitaumana. Kuna tetesi Gachagua alitaka kumuondoa kwa kiti kupitia GenzHakufanya kwa ajili ya kushinda. Subiri 2027 utagundua ni kwa nini aliamua kufanya alivyofanya. Unafikiri Ndondo Nyoro ni mjinga kukaa kimya? Kikuyus never forget and they never forgive. Raila is not a trusted ally. Ask Uhuru, Kalonzo or Kibaki. Also go and ask Moi they all know his treacherous he can be. He won't stay long with Ruto. Wait and see!
Kikuyu wanaamini wao Tu ndo wanapswa kuongoza KenyaRuto ni mwamba Raila akijaribu kitaumana. Kuna tetesi Gachagua alitaka kumuondoa kwa kiti kupitia Genz
Ataishia kuwalipa wanasheria[emoji23][emoji23] mwepesi takataka ana bilioni 109 net worth? ..basi sawa. [emoji23]
Vyovyote vile but Mt Kenya will not back him in 2027. Raila is not a trusted ally and if it happened he died I don't think Orengo, Sifuna, Gladys will just hand over ODM to him. Without Kikuyu he has a very steep road to re-election. Those people tend to vote to the last one and they vote as a block. He could surely sidelines him while keeping him at his job.Ruto ni mwamba Raila akijaribu kitaumana. Kuna tetesi Gachagua alitaka kumuondoa kwa kiti kupitia Genz
Siyo maskini mwenzenu mjue. Ni tajiri kwa maana ya tajiri. Haya marupurupu siyo kitu kwake.Kiburi chake kilimponza
Uko sahihi. Siasa za Kenya alizielezea vizuri sana mwandishi wa habari wa BBC juzi. Alisema siasa za Kenya ni kama zimekaa kama kwenye active volcano ambayo tectonic plates zake zinasogea muda wote.Hakufanya kwa ajili ya kushinda. Subiri 2027 utagundua ni kwa nini aliamua kufanya alivyofanya. Unafikiri Ndondo Nyoro ni mjinga kukaa kimya? Kikuyus never forget and they never forgive. Raila is not a trusted ally. Ask Uhuru, Kalonzo or Kibaki. Also go and ask Moi they all know his treacherous he can be. He won't stay long with Ruto. Wait and see!
Ruto kutoboa uchaguzi ujao ni ngumu.Ruto ni mwamba Raila akijaribu kitaumana. Kuna tetesi Gachagua alitaka kumuondoa kwa kiti kupitia Genz
Ruto won't believe what hit him. The Kikuyus have not forgotten the blood oath they took against Odinga Sr more than 50 years ago. How will they forgive this betrayal? Read the mood and see how Ndindi Nyoro actual went silence.Uko sahihi. Siasa za Kenya alizielezea vizuri sana mwandishi wa habari wa BBC juzi. Alisema siasa za Kenya ni kama zimekaa kama kwenye active volcano ambayo tectonic plates zake zinasogea muda wote.
Wakikuyu wanaona nchi ni yao wengine hawana haki kutawala kenyaKiburi chake kilimponza