Realboynicky
Senior Member
- Mar 31, 2023
- 156
- 296
😂Muammar Gaddafi hakuuwawa eti sababu ya utajiri wake. Kilichomuua Gaddafi ni dini. Ukweli ni kwamba nyuma ya misaada mingi aliokuwa anaitowa Gaddafi kulikuwa na agenda ya siri ya kueneza dini ya kiislamu afrika Nzima Kisha aiunganishe yote Iwe under Islamic empire huku akiwa na Nia ya siri ya kupora watu weusi Ardhi Yao kwa kisingizio cha muungano na Taifa Moja. Watu walimshtukia. Wakaandaa mpango wa kumteketeza. Na ndio maana kipindi anapigwa viongozi wenzie wote walikaa pembeni bila kuingilia.
Mmmhh!Muammar Gaddafi hakuuwawa eti sababu ya utajiri wake. Kilichomuua Gaddafi ni dini. Ukweli ni kwamba nyuma ya misaada mingi aliokuwa anaitowa Gaddafi kulikuwa na agenda ya siri ya kueneza dini ya kiislamu afrika Nzima Kisha aiunganishe yote Iwe under Islamic empire huku akiwa na Nia ya siri ya kupora watu weusi Ardhi Yao kwa kisingizio cha muungano na Taifa Moja. Watu walimshtukia. Wakaandaa mpango wa kumteketeza. Na ndio maana kipindi anapigwa viongozi wenzie wote walikaa pembeni bila kuingilia.
Daaah!!YESU NDIE AJUAE KIFO CHA KILA MWANADAM YEYE NDIO ANAJUA KAMA NI MAFUTA AU VINGINE
Yesu kaingiaje kwenye hii mada?YESU NDIE AJUAE KIFO CHA KILA MWANADAM YEYE NDIO ANAJUA KAMA NI MAFUTA AU VINGINE
Mnamkosea sana Emmanuel.YESU NDIE AJUAE KIFO CHA KILA MWANADAM YEYE NDIO ANAJUA KAMA NI MAFUTA AU VINGINE
Stories za Nyerere kuudidimiza uislamu🤣Rubbish!!
KWA SABABU YEYE NDIE ALIE MUUMBA KILA MWANADAM YEYE NI MUNGU MWANA ANAJUA KILA KITUYesu kaingiaje kwenye hii mada?
Kwa hiyo Qatar nayo ilimuua Gaddafi kwa ajili ya dini? Kwasababu Qatar nayo ilikuwa kimbelembele kumuondoa GhadafMuammar Gaddafi hakuuwawa eti sababu ya utajiri wake. Kilichomuua Gaddafi ni dini. Ukweli ni kwamba nyuma ya misaada mingi aliokuwa anaitowa Gaddafi kulikuwa na agenda ya siri ya kueneza dini ya kiislamu afrika Nzima Kisha aiunganishe yote Iwe under Islamic empire huku akiwa na Nia ya siri ya kupora watu weusi Ardhi Yao kwa kisingizio cha muungano na Taifa Moja. Watu walimshtukia. Wakaandaa mpango wa kumteketeza. Na ndio maana kipindi anapigwa viongozi wenzie wote walikaa pembeni bila kuingilia.
Wazungu noma hadi wanawafundisha na kuwaelekeza kabla hawajauana waseme Allah akbar Allah akbarMuammar Gaddafi hakuuwawa eti sababu ya utajiri wake. Kilichomuua Gaddafi ni dini. Ukweli ni kwamba nyuma ya misaada mingi aliokuwa anaitowa Gaddafi kulikuwa na agenda ya siri ya kueneza dini ya kiislamu afrika Nzima Kisha aiunganishe yote Iwe under Islamic empire huku akiwa na Nia ya siri ya kupora watu weusi Ardhi Yao kwa kisingizio cha muungano na Taifa Moja. Watu walimshtukia. Wakaandaa mpango wa kumteketeza. Na ndio maana kipindi anapigwa viongozi wenzie wote walikaa pembeni bila kuingilia.
Wala sio dini kilichomuua gjadafi ni gold dinarMuammar Gaddafi hakuuwawa eti sababu ya utajiri wake. Kilichomuua Gaddafi ni dini. Ukweli ni kwamba nyuma ya misaada mingi aliokuwa anaitowa Gaddafi kulikuwa na agenda ya siri ya kueneza dini ya kiislamu afrika Nzima Kisha aiunganishe yote Iwe under Islamic empire huku akiwa na Nia ya siri ya kupora watu weusi Ardhi Yao kwa kisingizio cha muungano na Taifa Moja. Watu walimshtukia. Wakaandaa mpango wa kumteketeza. Na ndio maana kipindi anapigwa viongozi wenzie wote walikaa pembeni bila kuingilia.
Hiiii kamba, Yesu hajui bhana,,,,,,YESU NDIE AJUAE KIFO CHA KILA MWANADAM YEYE NDIO ANAJUA KAMA NI MAFUTA AU VINGINE
Kuna mijitu vichwani kumejaa makamasiMuammar Gaddafi hakuuwawa eti sababu ya utajiri wake. Kilichomuua Gaddafi ni dini. Ukweli ni kwamba nyuma ya misaada mingi aliokuwa anaitowa Gaddafi kulikuwa na agenda ya siri ya kueneza dini ya kiislamu afrika Nzima Kisha aiunganishe yote Iwe under Islamic empire huku akiwa na Nia ya siri ya kupora watu weusi Ardhi Yao kwa kisingizio cha muungano na Taifa Moja. Watu walimshtukia. Wakaandaa mpango wa kumteketeza. Na ndio maana kipindi anapigwa viongozi wenzie wote walikaa pembeni bila kuingilia.
Baba yale ndio anajua…KWA SABABU YEYE NDIE ALIE MUUMBA KILA MWANADAM YEYE NI MUNGU MWANA ANAJUA KILA KITU
Muammar Gaddafi hakuuwawa eti sababu ya utajiri wake. Kilichomuua Gaddafi ni dini. Ukweli ni kwamba nyuma ya misaada mingi aliokuwa anaitowa Gaddafi kulikuwa na agenda ya siri ya kueneza dini ya kiislamu afrika Nzima Kisha aiunganishe yote Iwe under Islamic empire huku akiwa na Nia ya siri ya kupora watu weusi Ardhi Yao kwa kisingizio cha muungano na Taifa Moja. Watu walimshtukia. Wakaandaa mpango wa kumteketeza. Na ndio maana kipindi anapigwa viongozi wenzie wote walikaa pembeni bila kuingilia.