Chief Sanze
JF-Expert Member
- Jun 13, 2014
- 1,668
- 3,736
Ndiyo shida ya kufakamia kitimoto hovyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio Yesu ni Issa Bin Mariam.KWA SABABU YEYE NDIE ALIE MUUMBA KILA MWANADAM YEYE NI MUNGU MWANA ANAJUA KILA KITU
Mhmmm unazinguaYESU NDIE AJUAE KIFO CHA KILA MWANADAM YEYE NDIO ANAJUA KAMA NI MAFUTA AU VINGINE
💩Muammar Gaddafi hakuuwawa eti sababu ya utajiri wake. Kilichomuua Gaddafi ni dini. Ukweli ni kwamba nyuma ya misaada mingi aliokuwa anaitowa Gaddafi kulikuwa na agenda ya siri ya kueneza dini ya kiislamu afrika Nzima Kisha aiunganishe yote Iwe under Islamic empire huku akiwa na Nia ya siri ya kupora watu weusi Ardhi Yao kwa kisingizio cha muungano na Taifa Moja. Watu walimshtukia. Wakaandaa mpango wa kumteketeza. Na ndio maana kipindi anapigwa viongozi wenzie wote walikaa pembeni bila kuingilia.
Imani yako ,usijumuishe kila mtu.KWA SABABU YEYE NDIE ALIE MUUMBA KILA MWANADAM YEYE NI MUNGU MWANA ANAJUA KILA KITU
ShaLibya isingewekewa zengwe bila kuwa na rasilimali mzee. Mbona Somalia hawana mpango napo? Au dini Somalia hamna?
DuuuhKWA SABABU YEYE NDIE ALIE MUUMBA KILA MWANADAM YEYE NI MUNGU MWANA ANAJUA KILA KITU
Ficha ujinga wakoMuammar Gaddafi hakuuwawa eti sababu ya utajiri wake. Kilichomuua Gaddafi ni dini. Ukweli ni kwamba nyuma ya misaada mingi aliokuwa anaitowa Gaddafi kulikuwa na agenda ya siri ya kueneza dini ya kiislamu afrika Nzima Kisha aiunganishe yote Iwe under Islamic empire huku akiwa na Nia ya siri ya kupora watu weusi Ardhi Yao kwa kisingizio cha muungano na Taifa Moja. Watu walimshtukia. Wakaandaa mpango wa kumteketeza. Na ndio maana kipindi anapigwa viongozi wenzie wote walikaa pembeni bila kuingilia.
Kwa Waislam wanaojua Uislamu wasema Ghadhafi hakuwa Muislam kivileeeMuammar Gaddafi hakuuwawa eti sababu ya utajiri wake. Kilichomuua Gaddafi ni dini. Ukweli ni kwamba nyuma ya misaada mingi aliokuwa anaitowa Gaddafi kulikuwa na agenda ya siri ya kueneza dini ya kiislamu afrika Nzima Kisha aiunganishe yote Iwe under Islamic empire huku akiwa na Nia ya siri ya kupora watu weusi Ardhi Yao kwa kisingizio cha muungano na Taifa Moja. Watu walimshtukia. Wakaandaa mpango wa kumteketeza. Na ndio maana kipindi anapigwa viongozi wenzie wote walikaa pembeni bila kuingilia.
Haiwezekani sababu ikawa hiyo. Haya tuambie na Iraq je?Muammar Gaddafi hakuuwawa eti sababu ya utajiri wake. Kilichomuua Gaddafi ni dini. Ukweli ni kwamba nyuma ya misaada mingi aliokuwa anaitowa Gaddafi kulikuwa na agenda ya siri ya kueneza dini ya kiislamu afrika Nzima Kisha aiunganishe yote Iwe under Islamic empire huku akiwa na Nia ya siri ya kupora watu weusi Ardhi Yao kwa kisingizio cha muungano na Taifa Moja. Watu walimshtukia. Wakaandaa mpango wa kumteketeza. Na ndio maana kipindi anapigwa viongozi wenzie wote walikaa pembeni bila kuingilia.
Somali ipo strategic sana hasa kwenye njia za meli baharini, ila naamini ingekuwa na mafuta, basi Marekani lazima angeingilia kati na kuweka Rais kibaraka pale..Libya isingewekewa zengwe bila kuwa na rasilimali mzee. Mbona Somalia hawana mpango napo? Au dini Somalia hamna?
Hakika,siye tutachonga Sana Ila ndo ivoYESU NDIE AJUAE KIFO CHA KILA MWANADAM YEYE NDIO ANAJUA KAMA NI MAFUTA AU VINGINE
Kijana wa ovyoKWA SABABU YEYE NDIE ALIE MUUMBA KILA MWANADAM YEYE NI MUNGU MWANA ANAJUA KILA KITU
Duh! Nani? Wa wapi huyo?!YESU NDIE AJUAE KIFO CHA KILA MWANADAM YEYE NDIO ANAJUA KAMA NI MAFUTA AU VINGINE