Chivundu
Platinum Member
- Dec 17, 2012
- 7,781
- 6,966
Somali ipo strategic sana hasa kwenye njia za meli baharini, ila naamini ingekuwa na mafuta, basi Marekani lazima angeingilia kati na kuweka Rais kibaraka pale..
Njia ya meli haina maana kwa westerners mzee. Mafuta na madini yangekuwepo Somalia wangeshavurugwa muda sana na kuchukua mali yao.