Gaddafi hakuuwawa sababu ya mafuta.

Gaddafi hakuuwawa sababu ya mafuta.

Somali ipo strategic sana hasa kwenye njia za meli baharini, ila naamini ingekuwa na mafuta, basi Marekani lazima angeingilia kati na kuweka Rais kibaraka pale..

Njia ya meli haina maana kwa westerners mzee. Mafuta na madini yangekuwepo Somalia wangeshavurugwa muda sana na kuchukua mali yao.
 
Muammar Gaddafi hakuuwawa eti sababu ya utajiri wake. Kilichomuua Gaddafi ni dini. Ukweli ni kwamba nyuma ya misaada mingi aliokuwa anaitowa Gaddafi kulikuwa na agenda ya siri ya kueneza dini ya kiislamu afrika Nzima Kisha aiunganishe yote Iwe under Islamic empire huku akiwa na Nia ya siri ya kupora watu weusi Ardhi Yao kwa kisingizio cha muungano na Taifa Moja. Watu walimshtukia. Wakaandaa mpango wa kumteketeza. Na ndio maana kipindi anapigwa viongozi wenzie wote walikaa pembeni bila kuingilia.

Muammar Gaddafi hakuuwawa eti sababu ya utajiri wake. Kilichomuua Gaddafi ni dini. Ukweli ni kwamba nyuma ya misaada mingi aliokuwa anaitowa Gaddafi kulikuwa na agenda ya siri ya kueneza dini ya kiislamu afrika Nzima Kisha aiunganishe yote Iwe under Islamic empire huku akiwa na Nia ya siri ya kupora watu weusi Ardhi Yao kwa kisingizio cha muungano na Taifa Moja. Watu walimshtukia. Wakaandaa mpango wa kumteketeza. Na ndio maana kipindi anapigwa viongozi wenzie wote walikaa pembeni bila kuingilia.
Mnacho jidanganya huu udini wetu. Dini sio kigezo cha kusema kilimuondoa. Bali watu uchoka kuishi na viongozi ambao wanaishi kama mungu.
We mbona umemchoka baba yako na ndio kakufanya kuwa na dini yake
 
Malengo ya muislam yeyote ni dini ya Allah kushika hatamu,haijalishi ataanza na njia gani au atapitia chochoro ipi,ila mwisho wa siku lazima ahakikishe dean inasimama.

Wakati anaendelea kutekeleza miakakati yake ya africa moja,moja ya sharti kuu ilikuwa ili upewe mkopo lazima ukubaliane na sharti kuu la kubadili dini,maana hawezi kukupa mkopo wenye manufaa ya kiislam(usio na riba)wakati wewe si muislam.hii ilifanya akawa peke yake ktk vita anayopigana bila kujua.

Wakati ambapo wale aliokuwa amewabana kisawa sawa wametii(wakoloni),yeye alikuwa anaendelea kuchezesha kete zakw vibaya bila kujua,kwanza hii ya udini,na nyingine ile ya kutawala mielele,wakoloni wakazitumia vyema.
 
Libya isingewekewa zengwe bila kuwa na rasilimali mzee. Mbona Somalia hawana mpango napo? Au dini Somalia hamna?
Ingawa Mtoa maada kashindwa kuwasilisha vizuri iwa watu wengi vichwa vigumu pia.

Sababu za utawala wa gadafi kuangushwa zipo nyingi zikiwemo za Dini.

Gaddafi alimsaidia Idd Amin kuipiga Tanzania sababu za interest za kidini.
 
Pale Kampala kuna msikiti wa Gaddafi.

Old Kampala.
 
Muammar Gaddafi hakuuwawa eti sababu ya utajiri wake. Kilichomuua Gaddafi ni dini. Ukweli ni kwamba nyuma ya misaada mingi aliokuwa anaitowa Gaddafi kulikuwa na agenda ya siri ya kueneza dini ya kiislamu afrika Nzima Kisha aiunganishe yote Iwe under Islamic empire huku akiwa na Nia ya siri ya kupora watu weusi Ardhi Yao kwa kisingizio cha muungano na Taifa Moja. Watu walimshtukia. Wakaandaa mpango wa kumteketeza. Na ndio maana kipindi anapigwa viongozi wenzie wote walikaa pembeni bila kuingilia.
Na hivi ndivyo anavyowaza Realboynicky akivuta ganja. IN MKOLONI VOICE
 
Back
Top Bottom