Gaddafi hakuuwawa sababu ya mafuta.

💩
 
Hawawezi kukuelewa Hawa wapenda maneno ya kusikia

Cha kuongezea tu pia udikteta ulimponza
 
Somalia hawakuwa na mpango wa kusilimisha Afrika nzima. Gaddafi alikuwa na mpango wa kuisilimisha Afrika nzima na zote ziwe Chini yake under Islamic law.
Libya isingewekewa zengwe bila kuwa na rasilimali mzee. Mbona Somalia hawana mpango napo? Au dini Somalia hamna?
Sha
 
Ficha ujinga wako
 
Kwa Waislam wanaojua Uislamu wasema Ghadhafi hakuwa Muislam kivileee
 
Haiwezekani sababu ikawa hiyo. Haya tuambie na Iraq je?
 
Libya isingewekewa zengwe bila kuwa na rasilimali mzee. Mbona Somalia hawana mpango napo? Au dini Somalia hamna?
Somali ipo strategic sana hasa kwenye njia za meli baharini, ila naamini ingekuwa na mafuta, basi Marekani lazima angeingilia kati na kuweka Rais kibaraka pale..
 
Petrodollar system + Banking System za NATO.
 
Yaani hadi Omar Bongo wa Gabon alishikwa akili na yule boya akabadili dini yake kisa vijimisaada,
Yaani majitu meusi yananunulika kirahisi sana,
Mtu unashindwa tumia akili zako mpaka mtu akushikie na unajiita kiongozi pumbaf kabisa,
NB:Kuna majitu hua yanamwita huyo Gadafi shujaa huko yakimsifia na sifa kede kede na hayana taarifa kwamba wajomba Zake na ndugu wengi walifia front vitani Uganda kwa kupigana na vikosi vya yule Mshenzi baada ya kumpa msaada Nduli Iddi Amina Dada Aisha,.......

Na ndugu yangu Gz wa 2000
Alikua anampa maujiko jamaa na alikua hajui kama Gadafi alimpa msaada Dada Amina kutupiga,
Nilipompa evidence mpaka leo kabadili msimamo akaanza kuchimba propaganda zake akagundua jamaa agenda zake zilikua za kiwaki sana!
 
Mna hoja msikilizwee, kwenye vita ya UG na TZ, hapo alijidhihirisha hasa mrengo wake uko upande gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…