Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi niliwahi kuuliza humu, ni wapi jina la Jide lilitajwa kwenye ile video clip? Hata kama kimaudhui alimkusudia huyo, lakini kisheria huwez kuthibitisha pasi na shaka kuwa aliyetajwa ni Jide. Sheria ni ngumu jamani. Nadhan kila mmoja aendelee na hamsini zake!Ukisoma barua zote mbili ni dhahili wanasheria was Jide bado sana kwenye fani ya sheria.
Wajipange upya au waondoke na aibu
walau hii ya pili ambay pia hawakupaswakujibu ile ya kwanzaUkisoma barua zote mbili ni dhahili wanasheria was Jide bado sana kwenye fani ya sheria.
Wajipange upya au waondoke na aibu
CAPTAINNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNNHaya ni maamuzi sahihi kabisa kutoka kwa G, smart move indeed.