Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,023 Reaction score 12,811 Sep 4, 2012 #41 BAGAH said: bora arudi kwenye JAHAZI... jamani siwapendi hawa wauza pumba wa sasa hivi...KIBONDE na wenzake...puuuuuu! Click to expand... Harudi CLOUDS inasemekana kaenda TIMES FM.
BAGAH said: bora arudi kwenye JAHAZI... jamani siwapendi hawa wauza pumba wa sasa hivi...KIBONDE na wenzake...puuuuuu! Click to expand... Harudi CLOUDS inasemekana kaenda TIMES FM.
Kibosho kwetu JF-Expert Member Joined Jul 30, 2012 Posts 215 Reaction score 85 Sep 7, 2012 #42 tunamngoja
N NBica Member Joined Sep 13, 2010 Posts 39 Reaction score 36 Sep 10, 2012 #43 somji juma said: Mmliki wa B'HEATS(HERMY B),n m1 wao.. Click to expand... Ni mtoto wa marehemu Nyaulawa aliekuwa akimiliki kampun ya business Times watu wa amajira na magazeti mengine
somji juma said: Mmliki wa B'HEATS(HERMY B),n m1 wao.. Click to expand... Ni mtoto wa marehemu Nyaulawa aliekuwa akimiliki kampun ya business Times watu wa amajira na magazeti mengine
nyabhingi JF-Expert Member Joined Oct 12, 2010 Posts 15,602 Reaction score 20,181 Sep 13, 2012 #44 kama sikosei times fm bosi wao ni taj liundi ambaye pia aliwahi kuwa mtangazaji wa clouds...acha aibomoe criminal empire
kama sikosei times fm bosi wao ni taj liundi ambaye pia aliwahi kuwa mtangazaji wa clouds...acha aibomoe criminal empire
deejo Member Joined Dec 19, 2011 Posts 29 Reaction score 7 Sep 15, 2012 #45 funzadume said: mambo ya mimba ni majaaliwa ya Mwenyezi Mungu sio suala la kumkashifu mtu, hujafa hujaumbika sidhani kama wana furahia kukosa mtoto ni Mungu tu ndiye mwenye maamuzi kuhusu hilo. Tusimkufuru Mungu jamani Click to expand... Mi sijaona km majany amekashifu hapo.
funzadume said: mambo ya mimba ni majaaliwa ya Mwenyezi Mungu sio suala la kumkashifu mtu, hujafa hujaumbika sidhani kama wana furahia kukosa mtoto ni Mungu tu ndiye mwenye maamuzi kuhusu hilo. Tusimkufuru Mungu jamani Click to expand... Mi sijaona km majany amekashifu hapo.
majany JF-Expert Member Joined Sep 30, 2008 Posts 1,223 Reaction score 585 Oct 5, 2012 #46 deejo said: Mi sijaona km majany amekashifu hapo. Click to expand... afadhali umeliona mkuu....!!!