Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,023
- 12,811
Harudi CLOUDS inasemekana kaenda TIMES FM.bora arudi kwenye JAHAZI...
jamani siwapendi hawa wauza pumba wa sasa hivi...KIBONDE na wenzake...puuuuuu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Harudi CLOUDS inasemekana kaenda TIMES FM.bora arudi kwenye JAHAZI...
jamani siwapendi hawa wauza pumba wa sasa hivi...KIBONDE na wenzake...puuuuuu!
Mmliki wa B'HEATS(HERMY B),n m1 wao..
mambo ya mimba ni majaaliwa ya Mwenyezi Mungu sio suala la kumkashifu mtu, hujafa hujaumbika sidhani kama wana furahia kukosa mtoto ni Mungu tu ndiye mwenye maamuzi kuhusu hilo. Tusimkufuru Mungu jamani
Mi sijaona km majany amekashifu hapo.