GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #41
Fina Na kipanya wamerejea??
Unauliza Pilipili Katika Mghahawa Wa Chakula?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fina Na kipanya wamerejea??
wale walikua pale kuadhimisha sikukuu ya tar 1 inayoishia saa 4 asubuhi subiri kesho kama utawasikiaClouds inatumika kuwamaliza watangazaji wenye determination kama KP na Fina kwishney
wale walikua pale kuadhimisha sikukuu ya tar 1 inayoishia saa 4 asubuhi subiri kesho kama utawasikia
Kesho jmosi labda j3wale walikua pale kuadhimisha sikukuu ya tar 1 inayoishia saa 4 asubuhi subiri kesho kama utawasikia
Kimekuwaje??Kuna kijamaa kifupiii kama Zakayo kinakuaga hata kwenye clouds TV 360 kijuaji ovaaa
1, ha ha ha hah! GENTAMYCINE bwana! mbona una muunganisha jamaa na yale mambo haramu! ya mambo ya chumbani?! man to man na pj?!,Mkuu Samahani Najua Wewe Utakuwa Ni Mwanaume Mwenzetu Halafu Na Bahati Mbaya Mimi Ni Mtu Wa Pwani Hivyo Nimepata Kidogo Na UKAKASI Na Uliposema Nanukuu " PJ alikuwa fundi sana na kwamba utamkosa mno ". Niweke Sawa Tafadhali Kwani Yaonekana Jamaa ( PJ ) Ni Fundi ALIYETUKUKA.
Nyie ndio JPM anawatafuta...arudi asirudi anaongeza nn kwenye maisha yako....badala ya kufanya kazi kwa bidii umekazania ooh...karudi....so what
Kuna wimbo unasema sijui .....nini..... getini milembe au...?Huyu nae atakuwa hajielewi,Mara TIMES FM,E-FM leo anarejea Mawingu mhhhh!!!!!!!!!!!!! akapimwe si bure
Kuna kijamaa kifupiii kama Zakayo kinakuaga hata kwenye clouds TV 360 kijuaji ovaaa
Mkuu Hata Wewe Huniamini? Anyways Kuanzia Jumatatu Ijayo Andaa PONGEZI Zangu Kwani Nina UHAKIKA 100% Na Hii TAARIFA.
Hata mimi nasubiri akujibu hilo swali, au kwenda kutangaza Dubai Mirlad Ayo ndio kimataifa?Mkuu tueleweshe zaidi sisi wa mikoan,hapo et Clouds inaenda kuwa ya kimataifa.Hapo inakuwaje iwe kama BBC,VOA au una maanishaje?
Ulileta habari ya Muitaliano kwa mbwembwe nyingi, KUMBE ULIKUWA UZUSHI MTUPU, MUITALIANO ALIKANUSHA. UACHE HIYO TABIA.Mkuu Niamini Kuwa Gadner G. Habash Amerudi Rasmi Clouds FM Na Jumatatu Utamsikia Rasmi. Huniamini Mkuu? Kuna Nililolileta Humu La Uwongo?
1, ha ha ha hah! GENTAMYCINE bwana! mbona una muunganisha jamaa na yale mambo haramu! ya mambo ya chumbani?! man to man na pj?!,
2, ww sio wa pwani bali mnyarwanda mtu wa media or journalist uliko dar kwa kazi maalum! kutokana na articals zako nyingi zinagusa maswala ya mass com kama ile ya saut.
1, ha ha ha hah! GENTAMYCINE bwana! mbona una muunganisha jamaa na yale mambo haramu! ya mambo ya chumbani?! man to man na pj?!,
2, ww sio wa pwani bali mnyarwanda mtu wa media or journalist uliko dar kwa kazi maalum! kutokana na articals zako nyingi zinagusa maswala ya mass com kama ile ya saut.