Gadner G. Habash arudi rasmi Clouds FM

Gadner G. Habash arudi rasmi Clouds FM

Nyie ndio JPM anawatafuta...arudi asirudi anaongeza nn kwenye maisha yako....badala ya kufanya kazi kwa bidii umekazania ooh...karudi....so what
 
Mkuu Samahani Najua Wewe Utakuwa Ni Mwanaume Mwenzetu Halafu Na Bahati Mbaya Mimi Ni Mtu Wa Pwani Hivyo Nimepata Kidogo Na UKAKASI Na Uliposema Nanukuu " PJ alikuwa fundi sana na kwamba utamkosa mno ". Niweke Sawa Tafadhali Kwani Yaonekana Jamaa ( PJ ) Ni Fundi ALIYETUKUKA.
1, ha ha ha hah! GENTAMYCINE bwana! mbona una muunganisha jamaa na yale mambo haramu! ya mambo ya chumbani?! man to man na pj?!,
2, ww sio wa pwani bali mnyarwanda mtu wa media or journalist uliko dar kwa kazi maalum! kutokana na articals zako nyingi zinagusa maswala ya mass com kama ile ya saut.
 
Nyie ndio JPM anawatafuta...arudi asirudi anaongeza nn kwenye maisha yako....badala ya kufanya kazi kwa bidii umekazania ooh...karudi....so what

Bahati Mbaya Sana Huwa Sina Muda Wa Kupoteza Na Pathetic Dull Wa Aina Yako. Labda Nikuulize Je Na Wewe Hadi Kuamua Kupoteza Muda Wako Na Kuja Kunijibu Umeongeza Nini Katika Maisha Yako? Hizo Kazi Zako Za Maana Ulizonazo Umeshazimaliza?
 
Let's TE="Doto Dotto, post: 15740872, member: 314570"]Habari za Gadner sio kweli[/QUOTE]
Lete za kweli basi mkuu mbona unataka kutuchanganya tena.
 
Huyu nae atakuwa hajielewi,Mara TIMES FM,E-FM leo anarejea Mawingu mhhhh!!!!!!!!!!!!! akapimwe si bure
Kuna wimbo unasema sijui .....nini..... getini milembe au...?
 
Kuna kijamaa kifupiii kama Zakayo kinakuaga hata kwenye clouds TV 360 kijuaji ovaaa

Anaitwa Sam Sasali Nathaniel ILA Naomba Tu KUKUULIZA Mkuu Katika Huu UZI Huyu Jamaa Umemuingizaje Hapa? Kakukosea Nini?
 
Mkuu Hata Wewe Huniamini? Anyways Kuanzia Jumatatu Ijayo Andaa PONGEZI Zangu Kwani Nina UHAKIKA 100% Na Hii TAARIFA.

hiii aprl fool! inafanya watu tuwe wajinga kweli, hata tukipewa taarifa za uhakik stl hatuziamini...
suala la muda lipo lakin watu wanaelewa Leo ni Cku ya wajinga tu. hata mm bado nipo nusu nusu kama joh makin
 
Mkuu tueleweshe zaidi sisi wa mikoan,hapo et Clouds inaenda kuwa ya kimataifa.Hapo inakuwaje iwe kama BBC,VOA au una maanishaje?
Hata mimi nasubiri akujibu hilo swali, au kwenda kutangaza Dubai Mirlad Ayo ndio kimataifa?
 
Mkuu Niamini Kuwa Gadner G. Habash Amerudi Rasmi Clouds FM Na Jumatatu Utamsikia Rasmi. Huniamini Mkuu? Kuna Nililolileta Humu La Uwongo?
Ulileta habari ya Muitaliano kwa mbwembwe nyingi, KUMBE ULIKUWA UZUSHI MTUPU, MUITALIANO ALIKANUSHA. UACHE HIYO TABIA.
 
ImageUploadedByJamiiForums1459507548.545343.jpg
 
1, ha ha ha hah! GENTAMYCINE bwana! mbona una muunganisha jamaa na yale mambo haramu! ya mambo ya chumbani?! man to man na pj?!,
2, ww sio wa pwani bali mnyarwanda mtu wa media or journalist uliko dar kwa kazi maalum! kutokana na articals zako nyingi zinagusa maswala ya mass com kama ile ya saut.

Kama Hutaki Kuamini Kuwa Nipo Kwetu Kigali Nchini Rwanda Nikiendelea Na Kazi Zangu Za " UKULIMA, UFUGAJI Na UVUVI " Shauri Yako Na Sina Tena Namna Ya Kukufanya Uniamini Zaidi Ya Hapa. Karibu Sana Kwetu Rwanda Mkuu!
 
1, ha ha ha hah! GENTAMYCINE bwana! mbona una muunganisha jamaa na yale mambo haramu! ya mambo ya chumbani?! man to man na pj?!,
2, ww sio wa pwani bali mnyarwanda mtu wa media or journalist uliko dar kwa kazi maalum! kutokana na articals zako nyingi zinagusa maswala ya mass com kama ile ya saut.

Kama Hutaki Kuamini Kuwa Nipo Kwetu Kigali Nchini Rwanda Nikiendelea Na Kazi Zangu Za " UKULIMA, UFUGAJI Na UVUVI " Shauri Yako Na Sina Tena Namna Ya Kukufanya Uniamini Zaidi Ya Hapa. Karibu Sana Kwetu Rwanda Mkuu!
 
Mimi nakuamini juu ya taarifa yako sina shaka nawe.Ila kuna watu humu kutokana na posts zako wameisha kuchukulia kama babu yao that's why huwa hawachelewi kukutania ushauri wangu treat them like grandfather and his grandson or daughter.Nitafurahi kama utautumia ushauri wangu.
 
Back
Top Bottom