Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,581
Kama sio mambo ya siku ya wajinga, naam huo ndio ukomavu. Hata kama milichukizana mkagombana lakini mwisho wa siku mnapoelewana inaonyesha ukomavu mkubwa wa kifikra.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama sio mambo ya siku ya wajinga, naam huo ndio ukomavu. Hata kama milichukizana mkagombana lakini mwisho wa siku mnapoelewana inaonyesha ukomavu mkubwa wa kifikra.
Bikra wa KISUKUMABikira ndiyo nani Mkuu?
Nadhani ingekuwa sahihi kusema ni dhambi ya kumuacha mkewe sio Jaydee.Dhambi ya kumwacha Lady Jaydee haitamwacha huyu !
Ndio maana mi nlidhania ni Gadner jana jahazini kiruuuYule jamaa aliewekwa Kwenye Jahazi Bw Dakota ana sauti kama ya Gardner vile.
Yule jamaa ana kipindi chake cha muziki wa dance hivi nadhani alichukuliwa kwa dharura tu baada ya Musa na Lekudaz kutomudu Jahazi.Ndio maana mi nlidhania ni Gadner jana jahazini kiruuu
Too bad... By the way hakijaharibika kitu mana anarudi ila sasa kwa mfanano ule haipendezi wote kuhost kipindi kimoja
Mkuu wa vipindi clouds Shaffi DaudaShaffii ni nani clouds kimamlaka mpaka anamsimamoa Gadna akisaini?
Asante! Kumbe ana kacheo, nilidhani nae ni kama baba jonii tu.Mkuu wa vipindi clouds Shaffi Dauda
Haaah shaffi bosi ndo maana unaona safari za nje ya Tz anaenda tu hataki ruhusaAsante! Kumbe ana kacheo, nilidhani nae ni kama baba jonii tu.
ILA anaonekana kapungua Sana, kweli mwanamke Ni mwanamke Tu, itakuwa jide alikuwa anampikia vizuri loohShafii Dauda Akiwa na Captain G habash wakati akisaini mkataba wakurejea Clouds Fm.View attachment 334892
Kama karudi clouds basi amrudie na mkewe tu yaishe.ILA anaonekana kapungua Sana, kweli mwanamke Ni mwanamke Tu, itakuwa jide alikuwa anampikia vizuri looh
Sidhani Kama atakubali tena maana alidhalilishwa Sana Na mwanamkeKama karudi clouds basi amrudie na mkewe tu yaishe.
Sina uhakika lkn wanaweza kuyamaliza tu kurudia maisha yao ya zamani. Kama wanashindwa kusameana duniani mbinguni itawekana kweliSidhani Kama atakubali tena maana alidhalilishwa Sana Na mwanamke
Sio lazima warudiane, talaka washapeana, kila mtu achape lapa kianaSina uhakika lkn wanaweza kuyamaliza tu kurudia maisha yao ya zamani. Kama wanashindwa kusameana duniani mbinguni itawekana kweli
...huyu jamaa anajua vizuri game la bongo na figisufigisu zake....Ni pale Boss Ruge anapocheza kama Pele!!