Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,296
- 3,398
Jaman jide unaitwaa hata hauji huku unadaiwaa hebu lipa watu
Sielewi kwanini wadau wanakushambulia wakati ki haki ilitakiwa aandamwe JIDE ili ijulikane kama ni kweli au la ,wapi ule uthubutu wa JF kusimamia ukweli?
Wamfuate pale nyumbani lounge, yupo 24hours...
Utafanyaje kaz bila kuingia mkataba wala kusaini document za kuonesha mlikubaliana
Wacha waingizwe mjini Maamae
Mna risiti za kukodisha hizo nguo au mnaropoka tu bila kujua nini mnataka ww mtu awaambie kama kuna gharama atalipa halafu unakuja na maneno bila stakabadhi ni wizi ru
mmefiki wapi na madai yenu
MI NINACHMliendaje kufanya kazi bila makubaliano ya kisheria naamini ni kwl mlienda kuuza sura na ni uzembe mkubwa alafu mnakuja kulalama JF ukitegemea utapata hiyo pesa aaaarrrghh muwe makini next tym afu unasema mlienda kwa mapenzi ya kumsaidia dada yenu Jide na akili zenu kbs mnakodi nguo nyeupe muonekane kwny video kwl wauza sura.
Waswahili tuna matatizo,mnaposema mnadai sijui kifuta jasho. Hiyo ni kiasi gani? Mlikubaliana nini kabla ya hiyo shooting? Kama sikosei mnadai nyinyi ni watu wake wa karibu na Jide. So kama ni kweli, hivi ukimsaidia rafiki yako kwenye shughuli yake ni lazima akulipe? Sitashangaa kwa mentality hiyo nyinyi ndo dizaini ya watu wanaotaka kunufaika kwenye misiba ya watu kwa kujifanya eti ni watu wa karibu na wafiwa!!!
Hii thread ungeifanya kua sms ukatuma kwny namba ambayo ilikupigia ili uende kwny video ungekua umefanya busara sana au nenda polisi kafungue kesi ya madai kuleta haya malalamiko umu ni udhaifu mkubwa.
Kwani jide unamdai shilingi ngapi? Naona anakuvuruga sana mkuu, hyo tu music video umeshachanganyikiwa, ingekuwa filamu sijui ingekuwaje..video ni nzuri sana ila sikujua kuwa hadi nguo uliazima
wewe ukimtafuta mtu ukasema naomba nifagilie hapa halafu nitakupa kifuta jasho.akafagia then ukawa humpi vile ulivyosema akilalamika mbaya ni wewe ambaye hujatimiza au ni yeye anayedai..usichanganye matango mwitu na matango pori!
na mashati meupe?....hebu weka picha nione mlivyotupia!.....nenda kituo cha polise ostrby ukafkishe shauri lako!