GADNER IS ONE TRUE HERO! Sio wanaume wote wenye ujasiri wa kulikabili Comandoo Ndii ndiii

You are missing the point,watu hawamchukii gadner kwa sababu ya kuachana na jide,watu wanachukia kile kitendo cha kusema maneno yasiyo na busara. Hata kama jide huwa anapiga vijembe lkn huwezi kulinganisha na ile kauli. Then it seems like unachuki na hawa wenye vijisent,it started on diamond, then zari,sasa jide,am wondering who is next.
 
Comando is not bitter,Bitter huyo Gadner wako anaetukana,Comando hajatukana hata
 
The next must be me
 
Am a Man, a can say Gardner he is a man. Nimewahi kusikia shombo za mkojozwaji huyu ila hata siku moja, captain hakuwahi kumjibu vyovyote. Alidiriki kumkingia kifua mwanamke yule mpaka akaachana na clouds kama ulivotangulia kusema, ila huwa ninaamin kabisa jamaa alikuwa anajitahid kucompromise kwa Ruge wawe na mahusiano mazuri na Jide ila kwa kiburi na jeuri ya mdada huyu sidhani kama alikuwa tayari kupatanishwa. Binafsi sikupenda alivyotamka jukwaani, na ninaamin alisema yale machache kutokana na mengi ya miaka mingi ambayo amekuwa akifanyiwa na Jide. He is coming up, na Jide ataijutia nafsi yake kwa kuisujudia kisasi
 
Lara,
Nakubaliana nawe 100% kuwa Gadna nikidume maana nasikia Commandoo ni commandoo kweli hadi nyumbani.
Jamaa kwa vile alipenda hakuwa na noma hata kidogo. Mungu hamtupi mja wake ukiona mlango unafungwa usilalamike pengine ndiyo wakati wa kuangalia vizuri ili uweze kuona mlango mwingine.
 
NDII NDII NDII DOOH VERY CONTAGIOUS AISEE KIRUUUUUUUUUUUUUUU.
 
Utakapo choka ni pale wanarudiana...! Utoamini unachoamini leo...
Sitoshangaa ndo maana nakwambia G IS A HERO. Comandoo kuishi nae inahitaji uwe Comandoo zaidi yake msichana wa kazi alikuwa hakai mwezi. Ila Captain kaka nae miaka 15.
 

HAHAHAAAAAAAAAAA! Ndo hasara za kuoa MAKOMANDOO! CAN I AGREE TO DISAGREE?

Tuangalie WHEN DID GADNER BECOME WEAK? Gadner was once the most wanted bachelor in the city. Wamama walifika bei ni hatariii. He was only second to Ben Kinyaiya. Career yake ya jingles za matangazo was at peak, kipindi chake cha Jahazi was at peak, u MC wa maharusi ulikuwa on peak. HE GAVE ALL THAT UP AT ITS BEST TIME TO FULLFILL HIS WIFES DREAM.
He had a big heart kumuamini mwanamke, na sio kwamba hakuwa na kitu, hakuwa mbinafsi alijali zaidi familia.

Ukitaka kujua Jide Comandoo kweli kweli kabisaa mchana kweupe jua linwaka kawatoa Gadner na mwanae MSWAKIIIIII. Sasa tuone hizo mali zitamfikisha wapi. Life is more than money.
 

HAHAHAAAAAAAA! Sasa Zari ana senti gani hapo anamuingiza hawara nyumbani kwa ex hubby? Hahahaaa! Nitake radhi. Jide kweli ana visenti na Dimond anavo pia. Atleast kweli unaweza sema nawaonea wivu which is also preposterous assumption.

Na G kwenye kauli hio ALITAJA JINA? So it is okay kusema Gadner Mzee, anataka kunizeekea, kusema nilikuwa nalilisha manake lidudu, na yote aliyosema ILA GANDER KU STATE THE FACTS ZA HALI HALISI MAANA HAJADANGANYA NDO BIG DEAL? HE WAS JUST BEING A MAN DEFENDING HIS EGO, SAWA HANA PESA, HANA LOLOTE ILA YOTE JUU YA YOTE ATLEAST ALIMKOJOZA NDIO. Hahahaaaa!

FYI sina chuki na wenye nazo ONLY I PREFER TO LEND MY HELPING HAND TO THE WEAK. In any Saga or media frenzy i will side with the weak.
 
Comando is not bitter,Bitter huyo Gadner wako anaetukana,Comando hajatukana hata

Hahahaaa! Comandoo IS JUST SMART BITTER ONLY WHINING, VEXING, SHADING, THROWING DAGGERS. Not bichy enough to confront him directly. SCARED OF PAPA LIKE A LITTLE GIRL. G WAS JUST DRUNK WITH HIS EGO UP HIS BRAINS. Otherwise G is harmless
 
15 YRS unakojoza tuuuu na mimba hakuna,hizo ni naniliu au mapovu????? Ile kauli imemchafua zaidi kuliko kumpamba.
 
Hero bila kumujaza JIDE?
Jide ndio mwenye tatizo! Ametafuta tu pa kutokea na huo wimbo wake wa ndindindi. Aliingilia Ndoa ya wenyewe. Hakuuona uzee wa Gardner alipoomba aolewe. Ataimba sana lakini ukweli utabaki pale pale.
 
15 YRS unakojoza tuuuu na mimba hakuna,hizo ni naniliu au mapovu????? Ile kauli imemchafua zaidi kuliko kumpamba.

MKE WA KWANZA KAZAAA, MCHEPUKO WA SAHIVI UMEZAA. Sehemu zingine wana malailoni ya mkojo mpaka tumboni utakojoa wee mwishoe unye kabisaa ila bila bila.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…