GADNER IS ONE TRUE HERO! Sio wanaume wote wenye ujasiri wa kulikabili Comandoo Ndii ndiii

Jide ndio mwenye tatizo! Ametafuta tu pa kutokea na huo wimbo wake wa ndindindi. Aliingilia Ndoa ya wenyewe. Hakuuona uzee wa Gardner alipoomba aolewe. Ataimba sana lakini ukweli utabaki pale pale.
Ha ha ha ha ha
 
Hawa wote washamba wa mapenzi,kwani walivyokutana siku ya kwanza waliutangazia umma?kwanini walipoachana wanatangaza
 
nilichogundua umaarufu wako upo ktk kuwafungulia watu maarufu thread.
 
Leo life limekuwa more than money??? Maajabu ya kibuge.
 
Lara 1, very unfortunate siwezi kukupa more than one like, otherwise ningekupa 10. Ukiona post zangu kuhusu hawa love birds utaona the way nimesimama kwa vitendo viovu ya JD kwa ex wake. Amemdhalilisha sana as if they never shared anything. alipotoroka tu, naita kutoroka maana hakuaga, cha kwanza ni gazeti kwenye blog yake kumchafua Gadner. Ooh... nilikua namlisha, aliendesha gari langu, na utumbo kibao... Mkiwa wana ndoa kuna kitu cha mtu..?? kuna gari la nani na nani. Moral support ni zaidi ya pesa. Gadner ame sacrifice kiasi gani kwa huyu mtakatifu JD.
JD alijua sana kua Gadner ni wa kuelelewa, kama anavyodai, hata kabla hawajaona. Wimbo wa wanaume kama mabinti says it all. alimuimbia kabla hawajaona lakini still ali fight akaolewa nae. Leo umeamua kutoroka ndoa yako ambayo hutapata nyingine being a woman, unamtungia wimbo mwingine wa nini...? kama si uswahili Gadner ni mwanamme hata akitaka kuoa kesho anaweza. JD mpaka apate permanent relationship atavuliwa chupi mpaka atie akili.
Siko kwa Gadner wala JD lakini JD amekosea sana tu. angekaa kimya ningemuoma mwanammke lakini kelele zake zinaonyesha jinsi gani anakufa kwa kumkosa Gadner aliyemkimbia mwenyewe kwa hasira za kijinga.
 
There is too much stupid and immaturity from what you have written...so many words kumsifia mtu anaeweka ligi na mtalawaka wake...foolish kabisa...mwanaume mwenye busara huwa ana mute na kujiweka pembeni na mtalaka wake ili Dunia ijua ni nani mwenye matatizo...Captain angekuwa mwenye akili asinge jibizana na Commandoo Ndindiiiiindi...nadhani elimu ndogo ya std seven ndo inamponza....
 
Gardner aliposema anajuata kumuacha mkewe wa kwanza, there was more to those words than what meets the eye. A man must be man and he has proved to be one.
 
alikuwa ananywea Pombe na kuonga mabinti ela zote anazopata.
 
ningependa mtu mmoja afafanue hapa Gadner, Ruge, Clouds, Magic fm hawa ni kina nani kuwasikiasikia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…