GADNER IS ONE TRUE HERO! Sio wanaume wote wenye ujasiri wa kulikabili Comandoo Ndii ndiii

MKE WA KWANZA KAZAAA, MCHEPUKO WA SAHIVI UMEZAA. Sehemu zingine wana malailoni ya mkojo mpaka tumboni utakojoa wee mwishoe unye kabisaa ila bila bila.
Hahahaaaaa,.....kuna watu mna kamusi huru vichwani mwenu
 
Dunia hii mkuu ni unafiki mtupu hakuna real commitment.
 
PIGA PICHA NDO CAPTAIN ANGEMUACHA JIDE BILA KITU CHOCHOTE,WANAWAKE TZ NZIMA WANGESIMAMA KUTETEA HAKI ZOA NA KUTAKA WAGAWANE MALI.MPKA WAZIRI ANGEFUATWA HAPO.
Cha ajabu sasa wako kimya, tule tu vyama uchwara twa haki za wanawake sijui nini, kama kweli wako serious na hili waje waseme kuwe na fairness tutawaelewa.
 

Siku zote tumezoea kusikia wanawake wanalilia mali za mwanaume ooh tumechuma wote, lakini huwezi kutamwanaume analilia mali za mwanamke hii kwangu ya kwanza.
 
Na Gardner kaniambia jay dee hata atoe wimbo afanye collabo na Beyonce kumzungumzia yeye kamwe hawezi kugeuka nyuma.mwanamke shetani yule eti.
 
Huku ni kutafuta 'KUKOJOZWA' ama ni nini?????????!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…