Nafikiri Gardner amekuwa sasa na nafasi yake kiumri na kijamii inahitaji kufikiriwa upya. Kama anatambua hilo nadhani ni wakati muafaka kabisa kuachana na media zenye mambo ya kitoto. Mifano ni mingi ya wanaofikiri, Muone Brother Masoud Kipanya na Sister Fina, walipotoka Clouds watu walifiri wamepotea kumbe maamuzi ya akina Ruge na Jose ni ya kiukandamizaji zaidi na hawatoi nafasi ya mawazo ya wengineo kuchukua mkondo. Hongeara gardner, Karibu kwenye kundi la great thinkers. Epukana na utoto uwe role model