Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Kama siyo mimi kivipi Bwashee!! Nimewatabiria Wananchi mafanikio makubwa Kimataifa baada ya kufanya vizuri kwenye ligi ya ndani, na kweli wakafanya hivyo.Kama sio wewe vile
Hayo ya Bigirimana yalishapita.