Gael Birigimana ni usajili mzuri Sana Yanga wamefanya

Gael Birigimana ni usajili mzuri Sana Yanga wamefanya

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Jana uongozi wa Yanga wamemtambulisha mchezaji aliwahi kuichezea newcastle united Gael Birigimana.

Tangu atambulishwe kijana huyu kuna maneno mengi yamekuwa yakizungumzwa ikiwemo Takwimu zake mashabiki Watanzania wanaonesha wanapenda soka ila hawalijui soka Gael Birigimana ni kiungo mkabaji sio mshambuliaji wala sio kiungo mshambuliaji so huwezi kumpima kwa magoal wala assist kama wanachofanya mashabiki mtandaoni yule utampima kwa aina ya soka lake, duel won, interceptions n.k.

Wengine wakaenda mbali wakasema ni flop hakuna mchezaji anayetoka ulaya aje Bongo kwenye Hili naungana nao lakini mchezaji ambaye ameshuka kiwango akiwa ulaya huwezi kufafanisha na mchezaji alishuka kiwango Afrika muangalie Saidoo alivyokuja hapa nini amefanya hapa bongo kaonesha kiwango kikubwa sana, Gael Birigimana ni mchezaji amepata uzoefu wa kutosha sana akiwa Ulaya.

Gael Birigimana kacheza kwenye ligi yenye ushindani mkubwa yenye kutumia nguvu, akili na kasi kacheza dhidi ya Chelsea yenye Hazard, Lampard kacheza dhidi ya Arsenal yenye Ozil, Carzola kacheza dhidi ya Spurs yenye Harry Kane, Eriksen kacheza dhidi ya Man UTD ndio atashindwa kucheza dhidi ya TP Mazembe au Simba?

Uzoefu aliyonao utawasaidia sana Yanga kwenye michuano ya CAF.

Mimi nimebahatika kumuona akiwa Newcastle kiukweli ni mchezaji mzuri anayeweza kazi chafu.
 
Jana uongozi wa Yanga wamemtambulisha mchezaji aliwahi kuichezea newcastle united Gael Birigimana.

Tangu atambulishwe kijana huyu kuna maneno mengi yamekuwa yakizungumzwa ikiwemo Takwimu zake mashabiki Watanzania wanaonesha wanapenda soka ila hawalijui soka Gael Birigimana ni kiungo mkabaji sio mshambuliaji wala sio kiungo mshambuliaji so huwezi kumpima kwa magoal wala assist kama wanachofanya mashabiki mtandaoni yule utampima kwa aina ya soka lake, duel won, interceptions n.k.

Wengine wakaenda mbali wakasema ni flop hakuna mchezaji anayetoka ulaya aje bongo kwenye Hili naungana nao lakini mchezaji ambaye ameshuka kiwango akiwa ulaya huwezi kufafanisha na mchezaji alishuka kiwango Africa mwaangalie Saidoo alivyokuja hapa nini amefanya hapa bongo kaonesha kiwango kikubwa sana, Gael birigimana ni mchezaji amepata uzoefu wa kutosha sana akiwa ulaya.

Gael birigimana kacheza kwenye ligi yenye ushindani mkubwa yenye kutumia nguvu, akili na kasi kacheza dhidi ya chelsea yenye Hazard,lampard kacheza dhidi ya Arsenal yenye ozil,carzola kacheza dhidi ya spurs yenye Harry kane,eriksen kacheza dhidi ya man u ndio atashindwa kucheza dhidi ya Tp Mazembe au Simba?

Uzoefu aliyonao utawasaidia sana Yanga kwenye michuano ya CAF.

Mimi nimebahatika kumuona akiwa Newcastle kiukweli ni mchezaji mzuri anayeweza kazi chafu.
Nafikiri tumpe muda, anaweza kuwa mzuri lakini akashindwa kuperform kwasababu ya mazingira, Majeraha Nk hivyo akakosa nafsi ndani ya kikosi
 
Ametoka team gani mnabeba wachezaji waliokosa team mnakuja huku kupiga kelele mmemtoa Newcastle kweli manara anawaburuza vibaya sana.
Mzee mimi sio mshabiki wa Yanga ebu niombe radhi
 
Jana uongozi wa Yanga wamemtambulisha mchezaji aliwahi kuichezea newcastle united Gael Birigimana.

Tangu atambulishwe kijana huyu kuna maneno mengi yamekuwa yakizungumzwa ikiwemo Takwimu zake mashabiki Watanzania wanaonesha wanapenda soka ila hawalijui soka Gael Birigimana ni kiungo mkabaji sio mshambuliaji wala sio kiungo mshambuliaji so huwezi kumpima kwa magoal wala assist kama wanachofanya mashabiki mtandaoni yule utampima kwa aina ya soka lake, duel won, interceptions n.k.

Wengine wakaenda mbali wakasema ni flop hakuna mchezaji anayetoka ulaya aje Bongo kwenye Hili naungana nao lakini mchezaji ambaye ameshuka kiwango akiwa ulaya huwezi kufafanisha na mchezaji alishuka kiwango Afrika muangalie Saidoo alivyokuja hapa nini amefanya hapa bongo kaonesha kiwango kikubwa sana, Gael Birigimana ni mchezaji amepata uzoefu wa kutosha sana akiwa Ulaya.

Gael Birigimana kacheza kwenye ligi yenye ushindani mkubwa yenye kutumia nguvu, akili na kasi kacheza dhidi ya Chelsea yenye Hazard, Lampard kacheza dhidi ya Arsenal yenye Ozil, Carzola kacheza dhidi ya Spurs yenye Harry Kane, Eriksen kacheza dhidi ya Man UTD ndio atashindwa kucheza dhidi ya TP Mazembe au Simba?

Uzoefu aliyonao utawasaidia sana Yanga kwenye michuano ya CAF.

Mimi nimebahatika kumuona akiwa Newcastle kiukweli ni mchezaji mzuri anayeweza kazi chafu.
Yaani Birigimana ameamua kuja kucheza soka Tanzania? Amekosa vilab kule Ugiriki, Uturuki, ambapo nyota wengi wazee wanakimbiliaga huko? Amekosa hata xlub za championship na ligi 1 na ligi 2 za uingereza? Hilo litakuwa gharasa kabisa.
 
Eti wakianza kumtambulisha biligani wanaanza na aliekua mchezaji wa nyukasto hahaahaaa hata beckham alikua mchezaji wa manchester utd
 
Yaani Birigimana ameamua kuja kucheza soka Tanzania? Amekosa vilab kule Ugiriki, Uturuki, ambapo nyota wengi wazee wanakimbiliaga huko? Amekosa hata xlub za championship na ligi 1 na ligi 2 za uingereza? Hilo litakuwa gharasa kabisa.
Alexander Song yuko wapi Kwa Sasa?
 
Hii Yanga hii itwwauwa watu aisee
IMG-20220710-WA0299.jpg
IMG-20220710-WA0285.jpg
 
M
Nafikiri tumpe muda, anaweza kuwa mzuri lakini akashindwa kuperform kwasababu ya mazingira, Majeraha Nk hivyo akakosa nafsi ndani ya kikosi
Muda? Mtu ana miaka 40+ unampa muda upi zaidi ya kujiandaa kustaafu?
 
Back
Top Bottom