Makelele hayo yamekuwepo kila siku huko gaza na occupied west bank!Sema wewe umaysikia sasa baada ya hii Gaza war!Ila vilio kwa wapalestina havijawahi kukoma,dunia iliwapa mgongo walati wanapitia machungu!Walau sasa mpaka unasikia inazungumzwa habari ya two state solution mpaka na US na washirika wake,basi ujue safari hii makelele yao yamesikiwa!Sasa kama hali iko hivo toka zamani, si wameshazoea? Kama wamezoea basi hakuna sababu ya kupiga makelele eti Wapalestina tunaonewa. Tutulie huku tuki-enjoy mtifuano unaoendelea uwanjani Gaza baina ya wababe HAMAS na nguli mbobezi wa vita IDF.
Sasa yale yanayojitoaga muhanga yanakuwa yameuawa na nani?Hapana broo. Litaondoka bure na halitapewa mabikra 72 kwani utaratibu/harti ni muislam auawe na kafir ndio huenda peponi na kupewa mabikra 72 sio kujiua mwenyewe
Yale huwa yanakuwa yameshasomewa dua (a.k.a yameshaelekezwa kichwa kibla) inayowaingiza kwenye kuua kwa maana ya Jihad lakini na mwenyewe kufa mumo humo. 😀Sasa yale yanayojitoaga muhanga yanakuwa yameuawa na nani?
Na habari za kusadikika ni kwamba moja kwa moja huwa yanawahi mito ya mvinyo na mabikira 72.
Aaah! Bro; Haya mbona tunayamudu ss wenyewe?Haya magaidi ya Tanzania naomba isirael ije kuyashushia kipondo maana yapo mengi sana,jingine limeshikwa juzi hapa Geita.
Kwenye hiyo solution ya 2 state kuna mtu hapo itakula kwake. Wazungu ni werevu sana e.g. inaweza ikasemwa hv - "Ok. Sasa hapo uliposimama ww Palestina na ww Israel paitwe na pawe ni kwako". Yan kwa maneno mengine iwe kwamba "kile ulichonacho mkononi sasa hivi, kuanzia leo kitakuwa ndo cha kwako". Palestina atakuwa amepoteza hata hiyo ardhi ambayo HAMAS wanayojaribu kuitetea.Makelele hayo yamekuwepo kila siku huko gaza na occupied west bank!Sema wewe umaysikia sasa baada ya hii Gaza war!Ila vilio kwa wapalestina havijawahi kukoma,dunia iliwapa mgongo walati wanapitia machungu!Walau sasa mpaka unasikia inazungumzwa habari ya two state solution mpaka na US na washirika wake,basi ujue safari hii makelele yao yamesikiwa!
Unaongea hadithi tu ya kusadikika!Sio rahisi kama unavyofikiria,under international law,hayo maeneo anayokalia Israel yanaitwa "Illegal settlement"!Suluhu haiwezi kuwa kuigawia Israel maeneo ya Palestina!Itakuwa kichekesho cha karne!Kwenye hiyo solution ya 2 state kuna mtu hapo itakula kwake. Wazungu ni werevu sana e.g. inaweza ikasemwa hv - "Ok. Sasa hapo uliposimama ww Palestina na ww Israel paitwe na pawe ni kwako". Yan kwa maneno mengine iwe kwamba "kile ulichonacho mkononi sasa hivi, kuanzia leo kitakuwa ndo cha kwako". Palestina atakuwa amepoteza hata hiyo ardhi ambayo HAMAS wanayojaribu kuitetea.
Mhhh! Hayawi hayawi yatakuwa. Ndipo itakuwa ni kilio na kusaga meno.Unaongea hadithi tu ya kusadikika!Sio rahisi kama unavyofikiria,under international law,hayo maeneo anayokalia Israel yanaitwa "Illegal settlement"!Suluhu haiwezi kuwa kuigawia Israel maeneo ya Palestina!Itakuwa kichekesho cha karne!
aisee!Mambo ya Int law sio masuala ya mipasho kama ndoa za virago!Mhhh! Hayawi hayawi yatakuwa. Ndipo itakuwa ni kilio na kusaga meno.
Sawa bhana.aisee!Mambo ya Int law sio masuala ya mipasho kama ndoa za virago!