Walau unaijua jua Biblia, twende pamoja sasa; huyu Yesu aliyefanya yote hayo, ndio "mtu" ambaye kwenye Quran kaandikwa zaidi kuliko nabii yeyote, ndio huyu pekee ambaye hadi mama yake anaitwa "mwanamke bora sana kuliko wanawake wote" this include mama wa Mohammed sio bora, hana tofauti na mama yako au mama yangu, lakini Quran nzima, jina la mwanamke pekee ambaye katengenezewa hadi SURA nzima ni ***** Yesu. Huyu Yesu ndio "mtu" pekee ambaye hata Mohammed kapiga magoti kwake, kamsema huyo ndio inshara ya Kiama, yaani huyu Yesu ndie unaambiwa, bila yeye Mbinguni hakuendeki kaka, funga ramadhani, nenda katalii Madina, tupia mawe shetani pale kwenye lile jiwe, yaani kama hujamuamini huyu "mtu" Yesu, peponi/mbinguni hufiki, kwa tafsiri rahisi ni kwamba, hata Mohammed kama hakumpokea Yesu nae peponi hayupo. BTW, unafahamu kama Mohammed hakuna sehemu yeyote alipo thibitisha kwamba nae atakwenda peponi? Ni huyu "mtu" pekee yake ndio aliye wathibitishia wafuasi wake wa kule anako kwenda na wao wafanyeje ili wamfikie.