Gaidi lamvamia mzee na kumuua kwa kumchoma visu shingoni

Gaidi lamvamia mzee na kumuua kwa kumchoma visu shingoni

Kuna kitabu chenye uongo zaidi ya Bibilia?? Kitabu kilicho andikwa na raia kama wewe kitabu chenye historia na upotevu wa Hali ya juu??

Nakupa historia sasa yesu ni binadam kama mimi na wewe alizaliwa, alitailiwa, alikunya, alikojoa, kama wewe na historia inamjua na kitabu chochote kinacho pindisha historia hiko kitabu ni feki

Biblia ni utapeli wa madhabahuni
Walau unaijua jua Biblia, twende pamoja sasa; huyu Yesu aliyefanya yote hayo, ndio "mtu" ambaye kwenye Quran kaandikwa zaidi kuliko nabii yeyote, ndio huyu pekee ambaye hadi mama yake anaitwa "mwanamke bora sana kuliko wanawake wote" this include mama wa Mohammed sio bora, hana tofauti na mama yako au mama yangu, lakini Quran nzima, jina la mwanamke pekee ambaye katengenezewa hadi SURA nzima ni ***** Yesu. Huyu Yesu ndio "mtu" pekee ambaye hata Mohammed kapiga magoti kwake, kamsema huyo ndio inshara ya Kiama, yaani huyu Yesu ndie unaambiwa, bila yeye Mbinguni hakuendeki kaka, funga ramadhani, nenda katalii Madina, tupia mawe shetani pale kwenye lile jiwe, yaani kama hujamuamini huyu "mtu" Yesu, peponi/mbinguni hufiki, kwa tafsiri rahisi ni kwamba, hata Mohammed kama hakumpokea Yesu nae peponi hayupo. BTW, unafahamu kama Mohammed hakuna sehemu yeyote alipo thibitisha kwamba nae atakwenda peponi? Ni huyu "mtu" pekee yake ndio aliye wathibitishia wafuasi wake wa kule anako kwenda na wao wafanyeje ili wamfikie.
 
Acheni mambo ya dini sisi sote ni wa Mungu mmoja
Hapo hata mambo ya dini ni kwamba hatuhitaji kumezeshwa chuki kwa kundi fulani wala watu fulani..

Huyu kapost video hana source hana maelezo labda huko alipotoa namuuliza mbona huyo mtu hafanani na hamasi kuanzia technic aliyotumia, mpaka method sio ya mtu mzoefu wa kuua yan ni Sawa na yule jamaa aliye tembea na bunduki pale ubalozini tumpe jina hamas??

Hizi vdeo angekuwa anapost kwenye group Lao la ukoo watamuamini maana yeye pekee ndo ana diploma
 
Hapo hata mambo ya dini ni kwamba hatuhitaji kumezeshwa chuki kwa kundi fulani wala watu fulani..

Huyu kapost video hana source hana maelezo labda huko alipotoa namuuliza mbona huyo mtu hafanani na hamasi kuanzia technic aliyotumia, mpaka method sio ya mtu mzoefu wa kuua yan ni Sawa na yule jamaa aliye tembea na bunduki pale ubalozini tumpe jina hamas??

Hizi vdeo angekuwa anapost kwenye group Lao la ukoo watamuamini maana yeye pekee ndo ana diploma
Ujinga mtupu hapo unatetea nini sasa? Unatetea muuaji aliyeua mtu? Wewe Hamas unawajua hata kama hawajavaa uniform zao? Acha ujinga!! Dawa yenu IDF tu!!
 
Hamas siyo Magaidi! Ni wapigania haki za Wapalestina!
Wapalestina wataendelea kuwa Mwiba kwa Israel mpaka watakapomkiri Yesu Kristo kuwa ni BWANA na Mwokozi wao! Kama walimkataa hawatakuwa na amani miele.
 
Hamas siyo Magaidi! Ni wapigania haki za Wapalestina!
Wapalestina wataendelea kuwa Mwiba kwa Israel mpaka watakapomkiri Yesu Kristo kuwa ni BWANA na Mwokozi wao! Kama walimkataa hawatakuwa na amani miele.
Hamas ni Magaidi na ugaidi wao unadhibitishwa na vitendo walivyovifanya Oct 07,2023 walipobaka,wakatesa,wakateka nyara watu na kuua watu huko Israel nakushangaa Unaposema Haki za wapalestina ni zipi unazozisema wewe?
 
Walau unaijua jua Biblia, twende pamoja sasa; huyu Yesu aliyefanya yote hayo, ndio "mtu" ambaye kwenye Quran kaandikwa zaidi kuliko nabii yeyote, ndio huyu pekee ambaye hadi mama yake anaitwa "mwanamke bora sana kuliko wanawake wote" this include mama wa Mohammed sio bora, hana tofauti na mama yako au mama yangu, lakini Quran nzima, jina la mwanamke pekee ambaye katengenezewa hadi SURA nzima ni ***** Yesu. Huyu Yesu ndio "mtu" pekee ambaye hata Mohammed kapiga magoti kwake, kamsema huyo ndio inshara ya Kiama, yaani huyu Yesu ndie unaambiwa, bila yeye Mbinguni hakuendeki kaka, funga ramadhani, nenda katalii Madina, tupia mawe shetani pale kwenye lile jiwe, yaani kama hujamuamini huyu "mtu" Yesu, peponi/mbinguni hufiki, kwa tafsiri rahisi ni kwamba, hata Mohammed kama hakumpokea Yesu nae peponi hayupo. BTW, unafahamu kama Mohammed hakuna sehemu yeyote alipo thibitisha kwamba nae atakwenda peponi? Ni huyu "mtu" pekee yake ndio aliye wathibitishia wafuasi wake wa kule anako kwenda na wao wafanyeje ili wamfikie.
Bro mbona unachanganya Sana.. Issa bin Maryam sio yesu.. Issa ni Mtume wa Mwenyezi Mungu,, Mungu hajazaa na wala hajazaliwa na wala hana mshirika,,

Hakuna jina yesu kwenye msahafu na matendo yaliyo andikwa na mathayo na zakayo ni tofaut kabisa na Issa usichanganye hao watu., Issa hakuwekwa msalabani, Issa sio mtoto wa Mungu, Issa alianza kuongea siku ya kwanza Alipo zaliwa usichanganye..

Kuhusu pepo ya Muhammad nitakupa hadithi usizo ziamini wewe hapo kausha tu..

Mariam ni mwanamke bora tokea utoto wake sio tu alipo Zaa Bali Ndio mwanamke aliyekuwa bora kizazi chake Muhammad ni yatima sikiliza m vzur Hakuwa na mama alilelewa na ndugu.
 
Ujinga mtupu hapo unatetea nini sasa? Unatetea muuaji aliyeua mtu? Wewe Hamas unawajua hata kama hawajavaa uniform zao? Acha ujinga!! Dawa yenu IDF tu!!
Wewe umemjuaje kama ni hamas??? Au unakiriri taarifa uonekane na wewe unajua kahistoria??
 
Tokaa unateuletea vdeo hauna ushahidi au unatafuta mabwana JF
Wewe Mabwana uliwapata hapa JF? Kama wewe uliwatafuta na ukawapata hapa ni wewe tu mwenye tabia hiyo usifikiri ni wote!!!
 
Wewe Mabwana uliwapata hapa JF? Kama wewe uliwatafuta na ukawapata hapa ni wewe tu mwenye tabia hiyo usifikiri ni wote!!!
Acha shobo mtoto wa kiume siku nyingine ukiwa unapost vitu uwe una kuja umejitosheleza sio kila ukiwashwa unapost post tu kama choko kma wewe
 
Baada ya magaidi wa Hamas kuelemewa kwenye uwanja wa vita huko Gaza sasa hivi wanatumia magaidi wenzao kuvamia wazee na kuwadunga visu, pichani Gaidi anaonekana kumvamia mzee huyo kwa nyuma na kumdunga visu shingoni kisha na yeye aliuwawa na was Amalia waliokuwa karibu naye. Hamas ni Magaidi wa nasta hili kupigwa bila huruma yoyote

View attachment 3258699
Wewe nenda kaabudu mungu wako hao watatu usituchoshe na story zako kwani hujamuona yule muisrael ambaye aliua waisrael wenzake marekani kwa kudhani ni waarabu
Makafir mna shida sana kichwani
 
Acheni mambo ya dini sisi sote ni wa Mungu mmoja
Si kweli Mungu wetu si mmoja wao wana mungu wao na sisi tuna Mungu wetu. Mungu wetu anaitwa Yehova na mungu wao anaitwa Allah. Mungu wetu haruhusu kuua watu kwa sababu yoyote ile! Wao mungu wao ameruhusu kuua watu kwa ajili yake, Mungu wetu anasema huko mbinguni hakuna kuoa wala kuelewa!! mungu wao yeye aliwaambia wakifa wakimtumikia yeye huko peponi atawapa Mabikira 72 wawabikiri!!! Mungu wetu hapendi Walevi!! mungu wao kawaahidia Mito ya Pombe wanywe mpaka watoshe. Kwa hiyo Mungu wetu si Mungu wao na mungu wao si mungu wetu!!
Acha shobo mtoto wa kiume siku nyingine ukiwa unapost vitu uwe una kuja umejitosheleza sio kila ukiwashwa unapost post tu kama choko kma wewe
wewe tu ndiye unawashwa maana zamani huko nyuma hukuwa hivyo!!
 
Back
Top Bottom