Gaidi lamvamia mzee na kumuua kwa kumchoma visu shingoni

Kwa hiyo unatetea muuwaji mkuu au dini
 
Ukimaliza soma na hapa uone muisrael alivyowapiga bunduki waisrael wawili marekani kwa kudhani ni waarabu, unaona mungu alivyo fundi

 
Aliye Choma Mtu kisu Mu Israel
Aliye Chomwa Kisu ni Mu Israel
Pipa na Mfuniko
 
Uyo Babu Sio GAID !!!!!! kwa kuuwa uyo mtoto wa Kipalestina. Mwangalie vizuli uyo Babu uso wake umekunjana kwa Chuki ya Wapalestina !!!! uyu naye mlokole mwenye Chuki mwisho wake utakuwa kama uyo mzeee . Chuki ni Sumu kwenye Mwili wa Mwanadam mzee Uso Unatisha Vibaya!!!!!!
 
Umeona Uso wa mtu mwenye Chuki za kidini na kuwachukia Wapelestina kizee kimemdunga visu uyo Dogo mala 20+ Kisa Chuki tu kwa Wapalestina!!!!!!

kitoto kidogo!!!! JE HUUU SIO UGAID???? kipalestina kimeuwawa Marekani alikuwa Anaishi jilan na uyo Mzee mwenye CHUKI USO Umejaa CHUKI.
 
Mnaoanzishaga thread za namna hii wote nawaonaga mazwazwa tuu
 
SISI tunasena kweli uyo Mlokole Kazi Kudanganya Watu!!!! na Kupiga Poropo za Kidini!!!!
 
Iyo Picha inajieleza vizuli mtu yoyote anaweza kuichukua na kuitumia kuanzisha Uzi kupinga Unyama wa uyu kizee lkn pia kuonesha UGAID wawa Zungu Dhidi ya jamiii za Wangine!!!!

kubwa zaid kuuoyesha USO wa uyo kizeee Ulivokunjana kwa Chuki.. Picha iyo. Gaid la kilokole kutokea Marekani. Itumieni kuwajibu Wazushi nk.
 
Hilo gaidi ni lazima litakuwa lilikuwa likiimba wimbo huu mpya wa Ramadhani

View: https://x.com/ImtiazMadmood/status/1897035715894239499
 
Acheni ujinga tumieni akili zenu vizuri hiyo Taqiyyah yenu inawapoteza sana na kuwatia Upumbavu uliopitiliza!! Waarabu wanajulikana vizuri sana wala hakuna mjinga yeyote anaweza kuwafananisha na Miarabu!!
 
Mia he ujinga tumieni akili zenu vizuri hiyo Taqiyyah yenu inawapoteza sana na kuwatia Upumbavu uliopitiliza!! Waarabu wanajulikana vizuri sana wala hakuna mjinga yeyote anaweza kuwafananisha na Miarabu!!
Acha porojo Soma basi post nzuri kutoka jerusalem post ikieleza ujinga na roho mbaya wa waisrael na mungu akamuumbua akapiga risasi ndugu zake
Halafu kumbuka hawa waisrael ndio waliomuua mnaomwita mungu wenu yesu hadi akaomba msaada kwa mungu wa kweli msalabani
 
Pumbavu zenu mna Tumia kichaka cha dini mnaposhindwa kujibu hoja!! Dini yenu mnataka kuifanya kichaka zikitoka habari zozote za kigaidi kuwahusu hao wanaojiita wapalestina kwa ujinga wenu mnageuza kuwa ni Chuki dhidi ya Uislamu wakati Oct 07,2023 wakati wanafanya ugaidi wao na kuua watu 1,200 na kuteka nyara watu 251 walikuwa Waki wa wala Allah Akbar. Dawa yenu ni IDF tu!!
 

Attachments

  • 2359348543583240953.mp4
    16.6 MB
Huko ni magaidi kutaka kujifariji kuficha kipigo wanachopokea kutoka kwa majeshi shupavu ya Israel!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…