baba-mwajuma
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 4,178
- 7,591
Kashasema Druze, hajui hata Druze ni nini anajiaibisha tu hapo, ye akisikia tu jina la kiarabu basi anajua ni waisilamu na Hamas anakimbilia kuja kupost humu.Hamas hana hata bunduki ya kujitetea.. mtoa mada umejuaje kama huyo ni hamas???
Ujinga mtupu kutaka tu kutetea Ugaidi!! Kwa kujificha kwenye kichaka cha dini!!Kashasema Druze, hajui hata Druze ni nini anajiaibisha tu hapo, ye akisikia tu jina la kiarabu basi anajua ni waisilamu na Hamas anakimbilia kuja kupost humu.
Druze wengi wapo Jeshi la Israel and has nothing to do with Hamas, hapo pengine unakuta ni IDF kashadata kwa kuua watoto.
Unajua kama Druze ni dini? Hapa unachoongea ni kama Budha aue mtu halafu nianzishe thread Wakristo magaidi wanaua watu ina make sense?Ujinga mtupu kutaka tu kutetea Ugaidi!! Kwa kujificha kwenye kichaka cha dini!!
Acha ujinga kujificha kwenye Uislamu wako soma kichwa cha habari hapo juu then uje ubwabwaje tena na udini wako!!Unajua kama Druze ni dini? Hapa unachoongea ni kama Budha aue mtu halafu nianzishe thread Wakristo magaidi wanaua watu ina make sense?
Hebu nielezee taratibu Raia wa Israel dini ya Druze kaua mtu, inahusiana nini na waisilamu ama Hamas?
Kichwa cha habari na Makala yako inaongelea mtu wa Druze ambaye ameua mpalestina, Comments zako zinakandia uisilamu na Wapalestina huoni kama nati mbili zimelegea?Acha ujinga kujificha kwenye Uislamu wako soma kichwa cha habari hapo juu then uje ubwabwaje tena na udini wako!!
Acheni kumdhihaki Mungu Wewe nawe unajidanganya una Swaum labda una Salum hilo domo lako lilivyojaa matusi wewe huwezi kuwa na Swaum wewe lazima una Salum tu.!!!Uyu jamaa ni mshamba na zwazwa anajua vile watu wapo kwenye Swaumu ndio kila Neno Anaanza na kutukana watu Akili yake yupo kwengine!!!!
lengo lake kuwafanya wanaomjibu nao Wamtukane kisha likenue mimeno yake kuwa amealibu Swaum yako.. tumpuuze uyu. Zwazwa la Shambani uko ukelewe vijijini ndani ndani !!!!!.,
Ina maana hata mada yako mwenyewe hujaisoma? Pengine hapa nabishana tu na bot la Kompyuta.Kuna sehemu nili- Mention druce? Tumia akili zako vizuri!!
Weka chanzo kikisema si Magaidi wa Hamas
Wafuga Midevu na Majini mna matatizo makubwa sana na sijui nani aliyewaroga!! Kwa hiyo hicho chanzo chako kinasema siyo magaidi wa Hamas? Kuna sehemu Polisi walisema terror" attacks those connected to the Israeli-Palestinian conflict.
Kiingereza hujui au hujasoma!?..hujaona hapo kwenye maelezo muisrael druze aliyetoka marekani karibuni!?..muwe mnaenda shuleWafuga Midevu na Majini mna matatizo makubwa sana na sijui nani aliyewaroga!! Kwa hiyo hicho chanzo chako kinasema siyo magaidi wa Hamas?
Druze na sio Druce, si usome uzi wako mwenyewe? Yaani unaleta uzi hata hujui umeandika nini?Weka hapa kama kuna sehemu mimi nilisema Druce!!
Acha ujinga nimesema copy hiyo sehemu niliyosema Druce uniwekee hapa wote tuone unisute vizuri, Tatizo lenu Taqiyyah uongo uongo tu na ndiyo maana mnadanganywa kuwa ukifa unafanya Ugaidi huko peponi unapewa Mabikira 72 uwabikiri na nyie kwa kuwa mnapenda Ngono Mnashobokea Ujinga tu. Narudi tena copy sehemu niliyoandika mimi Druce uiweke hapa!!!Kiingereza hujui au hujasoma!?..hujaona hapo kwenye maelezo muisrael druze aliyetoka marekani karibuni!?..muwe mnaenda shule
Kwa hiyo akitoka Marekani hawezi kuwa Gaidi? Israel kuna waarabu zaidi ya million 2 na Druce nao wapo hiyo haiondoi maana ya wao kutofanya Ugaidi!!Kiingereza hujui au hujasoma!?..hujaona hapo kwenye maelezo muisrael druze aliyetoka marekani karibuni!?..muwe mnaenda shule
Kwa maana hiyo wewe unakataa hajafanya huo Ugaidi kwa sababu yeye ni Druce? Huyo ni Gaidi tuDruze na sio Druce, si usome uzi wako mwenyewe? Yaani unaleta uzi hata hujui umeandika nini?
View attachment 3259887
Hapo uzi wako wenyewe unasema jamaa anatoka jamii ya Druze, ama sio wewe aliye leta hii mada?
Point ni kwamba Druze wapo upande wa Israel na Alieuliwa ni Mpalestina, So Shosti wa Waisrael kaua mzee wa Kipalestina gaidi ni nani hapo? Mpalestina na Hamas ama Druze na Waisrael wao?Kwa maana hiyo wewe unakataa hajafanya huo Ugaidi kwa sababu yeye ni Druce? Huyo ni Gaidi tu
Mantiki hiyo hiyo unataka kusema waarabu walioko Israel hawawezi kufanya Ugaidi dhidi ya Israel? Kuna waarabu wengi tu walioko Israel hufanya Ugaidi maana wana mafungamano na Hamas hata huyu Aliyechoma visu watu na kuua Mzee alikuwa na mfungamano na Magaidi nashangaa tu wewe kutaka kulazimisha kuwa huyo hakufanya ugaidi!!Point ni kwamba Druze wapo upande wa Israel na Alieuliwa ni Mpalestina, So Shosti wa Waisrael kaua mzee wa Kipalestina gaidi ni nani hapo? Mpalestina na Hamas ama Druze na Waisrael wao?
Kubali tu umekurupuka hujasoma Mada umecopy na kupaste mada ambayo inaenda against na unachoamini. Muungwana Akikosea Huchutama.Mantiki hiyo hiyo unataka kusema waarabu walioko Israel hawawezi kufanya Ugaidi dhidi ya Israel? Kuna waarabu wengi tu walioko Israel hufanya Ugaidi maana wana mafungamano na Hamas hata huyu Aliyechoma visu watu na kuua Mzee alikuwa na mfungamano na Magaidi nashangaa tu wewe kutaka kulazimisha kuwa huyo hakufanya ugaidi!!