The indigenous
JF-Expert Member
- May 14, 2018
- 312
- 143
usilishe watu uwongoTaarifa toka kwa Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la la Gairo zinasema kuwa mgombea wa nafasi ya ubunge kupitia CCM Ahmed Shabiby amepita bila kupingwa kutokana na wagombea wa vyama vya CHADEMA, UPDP na CUF ambao walirudisha fomu saa 11 jioni badala ya muda wa kisheria wa saa 10 jioni