The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 7,574
- 10,598
- Thread starter
- #61
Ilikua dizain ya kipekee na hawakua na mambo mengi..lesscare sana!Ahsante mpendwa.
Ila sijui kwanini viatu vya mzee einstein vimenivutia 🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikua dizain ya kipekee na hawakua na mambo mengi..lesscare sana!Ahsante mpendwa.
Ila sijui kwanini viatu vya mzee einstein vimenivutia 🤔
Mwili mkubwaaaa kumbe kibamia.Arnold Schwaznegger akitembea ndani ya mji wa Munic kwa mtindo huu ili kuonesha umuhimu wa kwenda Gym na hasa alipokua anafanyia kazi. Hii ilikua mwaka 1969.
View attachment 1597154
Covid 19 na hiyo ya 1960' imekaaje hii. Dr June Almeida: Mwanamke aliyegundua Corona virus kwa mara ya kwanza.
View attachment 1424269
Mama huyu ni mtu wa scotland, aligundua virusi vya corona mwaka 1964 alipokua maabara ndani ya hospitali ya St thomas mjini London.
Akiwa na miaka 16, aliacha kusoma baada ya kupata kazi kama 'histopathology laboratory technician' (Histopathy is the study and diagnosis of tissue diseases and involves examining cells and tissue under a microscope, according to the Royal College of Pathologists) ila baadaye aliamua kwenda London kujiendeleza kielimu.
Muonekano wa Corona virus kupitia microscope ulikua hiv kwa mara ya kwanza 1964..[emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 1424280
View attachment 1424281
Alihama England na kuelekea canada kwa kazi zake. Baadaye alirudi tena England palepale St Thoman hospital ambapo kama unakumbuka hii ndiyo hospitali iliyotumika kumuuguza Boris Johnson waziri mkuu wa uingereza wakati kapata maambukizi ya Covid-19.
Katikati ya miaka ya 80 akiwa hapo London, alisaidia kupata picha za HIV.
Dr June almeida alifariki mwaka 2007 kwa heart attack (london hapo hapo) akiwa na miaka 77. Alizaliwa october 5 1930.
View attachment 1424285
Sifa tuArnold Schwaznegger akitembea ndani ya mji wa Munic kwa mtindo huu ili kuonesha umuhimu wa kwenda Gym na hasa alipokua anafanyia kazi. Hii ilikua mwaka 1969.
View attachment 1597154
Lakini mkuu mbona ipo kama illusion hii kituNmsikitika story ya lina...sijui ni nani huyo aliemu abuse akiwa mdogo hivyo na kumsababishia kupata kuzaa kwa kipindi hicho.
Kukataa kwake kuongeleea hilo swala kuna onesha bado ana maumivu makali.