Gambling and betting addiction

Gambling and betting addiction

Nyoko muhindi
Screenshot_20221022-003708.jpg
 
Dah.!
Kwenye nyeto umenigusa mkuu nimeanza kunyetuka tangu 1994 mpaka leo naendelea kila siku nasema nipige cha mwisho niache then najikuta naendelea [emoji1787]
Kuna kipindi nilijikeep busy sana nikafanikiwa kutoboa mwezi ila kilichofuata nilirudi chamani kwa kasi ya 5G
Dah aisee Toka nioe mwali wa pwani sikuwahi Tena kupiga pull maana unakamuliwa zote
 
I’m an addict, yes leo nimekubali kuwa mimi ni addict wa michezo ya kamari. Sikuwa tayari ku accept hili swala na kila siku nilikua najipa moyo nita acha au huenda I will make through gambling and online sports betting.

Nilianza kamari back in 2014 and I blame myself for the addiction to get the best of me. Nimeishi sometimes maisha magumu sana chuoni kwa sababu ya betting which was a sign for me to quit but I didn’t.

Nakumbuka on my university graduation I just wanted that extra cash nika bet budget nzima nilopewa na my parents. I woke up the next morning with 40k with no new clothes or shoes plus a girlfriend to please and take care of for the next three days of the graduation hype, I made it through lakini sito sahau msoto nilopitia.

Fast foward namaliza uni napata kazi nzuri somewhere, I up my stakes to the mounts of 500k-1M. Unajikuta in a weekend unatoa 1M mpaka 3M then next week unatoka from 500k to (-3M) just chasing the losses . The adrenaline was more than that of alcohol or drugs I just wanted to continue sikutaka kuacha hata kidogo.

Had savings somewhere ikanibidi kuvunja account just to keep up with the lifestyle!, that account ilitoka kwenye some Ms mpaka sasa iko na 70k. To keep it short I have made losses, huge losses.

Una deposit 100k ijumaa jioni una bet na ku gamble online vya kutosha unafikisha let’s say 700k. Your mind tells you to withdraw ila una jiambia one last bet, unatafuta live play dakika ya 83 game ni 1-0 unasema hapa ni under 2.5 una stake one last bet of the night the whole 700k, guess what it’s the 94th minute na game imeisha 3-1. Unasema ngoja ni deposit 500k to chase the loss, guess what inaenda pia!!! The cycle continues all month!

Naweza sema I lost myself not my cash in all this facade!! Najiona nimepotea mimi hizi pesa zita tafutwa ila kwa namna kubwa kamari imeniharibia mipango yangu mingi sana.

But I give up now, I call it quits. I have learned my lesson now, ni muda wa ku fight hii addiction.

Day 0 of not placing a bet, here we go.
Ah bora hiyo mzeya sasa ungekuwa na addiction ya mbususu ndio balaa zaidi maaina mwaka wa 17 huu naweza njugu tuu hapa.
Pesa makaratasi utatafuta. Sasa mie huyu mdudu namtoaje kwenye damu yote addiction ya mbususu
 
Unajua ubaya wa addiction zoote zinacheza na ubongo, so kuishinda addiction haihitaji nguvu za mwili, inataka nguvu ya akili iishinde nguvu ya matamanio: Hiyo vita so mchezo

Soma kitabu cha your brain on porn
Sasa adfiction ya ngono ukiwa wasoma hicho kitabu tayari dushelele limesimama
 
I’m an addict, yes leo nimekubali kuwa mimi ni addict wa michezo ya kamari. Sikuwa tayari ku accept hili swala na kila siku nilikua najipa moyo nita acha au huenda I will make through gambling and online sports betting.

Nilianza kamari back in 2014 and I blame myself for the addiction to get the best of me. Nimeishi sometimes maisha magumu sana chuoni kwa sababu ya betting which was a sign for me to quit but I didn’t.

Nakumbuka on my university graduation I just wanted that extra cash nika bet budget nzima nilopewa na my parents. I woke up the next morning with 40k with no new clothes or shoes plus a girlfriend to please and take care of for the next three days of the graduation hype, I made it through lakini sito sahau msoto nilopitia.

Fast foward namaliza uni napata kazi nzuri somewhere, I up my stakes to the mounts of 500k-1M. Unajikuta in a weekend unatoa 1M mpaka 3M then next week unatoka from 500k to (-3M) just chasing the losses . The adrenaline was more than that of alcohol or drugs I just wanted to continue sikutaka kuacha hata kidogo.

Had savings somewhere ikanibidi kuvunja account just to keep up with the lifestyle!, that account ilitoka kwenye some Ms mpaka sasa iko na 70k. To keep it short I have made losses, huge losses.

Una deposit 100k ijumaa jioni una bet na ku gamble online vya kutosha unafikisha let’s say 700k. Your mind tells you to withdraw ila una jiambia one last bet, unatafuta live play dakika ya 83 game ni 1-0 unasema hapa ni under 2.5 una stake one last bet of the night the whole 700k, guess what it’s the 94th minute na game imeisha 3-1. Unasema ngoja ni deposit 500k to chase the loss, guess what inaenda pia!!! The cycle continues all month!

Naweza sema I lost myself not my cash in all this facade!! Najiona nimepotea mimi hizi pesa zita tafutwa ila kwa namna kubwa kamari imeniharibia mipango yangu mingi sana.

But I give up now, I call it quits. I have learned my lesson now, ni muda wa ku fight hii addiction.

Day 0 of not placing a bet, here we go.
We keep the counter. Challenge 90Days no gambling.. Keep it real broo
 
Kama ni addiction bhasi mimi nipo kote kote nina addiction ya punyeto, betting ..sina mpango wa kuacha.
Niache nyeto nitumbukie kwa Malaya nife na ukimwi? Niache betting hela zangu unataka nionge Wana wanawake?BIG NO.
Betting nilifundishwa na uncle nikiwa standard 5 mwaka 2004 meridian kariakoo,huu mwaka 10 betting hatujawahi kunitoa hasara.
Njoo nikupe darasa la betting
mzee wa michezo kubet king palace
 
Sasa adfiction ya ngono ukiwa wasoma hicho kitabu tayari dushelele limesimama
Mkuu

Hicho kitabu Lengo lake ni kujaribu kukupa picha ya kinachoendelea ndani ya ubongo wako pindi ukiwa na addiction, lakin suala la kutokq ni binafsi na halihitaji nguvu za mwili.
 
Hela nilio poteza leo imetosha kusema hapana huu ndo mwisho wa kubet naamini mwakani siku kama ya leo nitakuja kutoa ushuhuda wa kumaliza mwaka bila kamari.
Unajidanganya kaka mm nakupa wiki MOJA tu LAZMA utarud kundini mwenyewe bila kilazimishwa
Kama umeweza kudumu kundn KWA zaid ya 5years ,kirahs tahs tu uache ndan ya SIKU ? Never , hyo ni system ishaingia kwny damu ,it need extra force and commitment to leave it
 
mkuu muue Liverpool, Munich, Madrid & Milan Ashinde[emoji1787][emoji1787][emoji1787].... Stake Mlima J2 kachukue Mafao yako ya kamari..! Sema Tawile [emoji1787]
 
Watu nyie sio watu wazuri mtu anasema anataka kuacha lakini bado mnasondeka mitimu tu ili abeti tena 😂🤣
 
Ni kweli but I’m a witness to a friend ambae ni casino addict. He makes way more money than me lakini kuna bad days nimeona ana ingia casino na 7m na anatoka na laki 3. Kilicho niokoa kutoka kwenye casino ni kuto pata muda ku master casino games la sivo ninge umia zaidi.
7M mbona pesa ndogo sana! Kuna mchina pale Palch Beach Casino alipigwa 500M per night! Akaenda kujipiga gun kwake huko! Casino inalipa but kua na financil respect! Mfano weka budget yako yakucheza Casino kama ni 1M basi! Ukiliwa toka nenda home kalale! Lakini ukienda ATM ku withdraw pesa nyingine uje kucheza tena, unapigwa tena!

Niliwahi kwenda kucheza Casino pale Sea Cliff! Nilienda na 100k! Nilitoka na 14M! Mwaka 2013! Nikawa naenda kucheza mara moja moja sana! Nikaja piga hesabu kwenye 14M zao wamerudisha 2M nika stop hadi 2015 nikawa naenda The Grand, Princes,Macau na Galaxy!

Nikaja kupata urafiki na mchina mmoja hivi! Alikua ananipa 500k zakucheza, nacheza nyingine nabana! Mungu si Athuman nilikua napata pata hizi 2M! Ila sio kwa pesa zangu,pesa za mchina na alikua na pesa mno! Maana kuna siku aliniambia toka aanze kucheza kamari kutokea huko kwao! Keshapoteza zaidi ya 2B
 
7M mbona pesa ndogo sana! Kuna mchina pale Palch Beach Casino alipigwa 500M per night! Akaenda kujipiga gun kwake huko! Casino inalipa but kua na financil respect! Mfano weka budget yako yakucheza Casino kama ni 1M basi! Ukiliwa toka nenda home kalale! Lakini ukienda ATM ku withdraw pesa nyingine uje kucheza tena, unapigwa tena!

Niliwahi kwenda kucheza Casino pale Sea Cliff! Nilienda na 100k! Nilitoka na 14M! Mwaka 2013! Nikawa naenda kucheza mara moja moja sana! Nikaja piga hesabu kwenye 14M zao wamerudisha 2M nika stop hadi 2015 nikawa naenda The Grand, Princes,Macau na Galaxy!

Nikaja kupata urafiki na mchina mmoja hivi! Alikua ananipa 500k zakucheza, nacheza nyingine nabana! Mungu si Athuman nilikua napata pata hizi 2M! Ila sio kwa pesa zangu,pesa za mchina na alikua na pesa mno! Maana kuna siku aliniambia toka aanze kucheza kamari kutokea huko kwao! Keshapoteza zaidi ya 2B
Aisee sijui inakuwaa ni pepo ganiii hili la kamariii...!! 2B zimesepaaa
 
Back
Top Bottom