Uchaguzi 2020 Gambo ashiriki Shughuli za Kijamii; aonesha ustadi wa kuchagua mchele

Huu sasa ni UJINGA.

Kuchambua mchele ni kazi za wanawake.

Hapo msibani kulikuwa hakuna kazi za wanaume Mrisho Gambo akasaidia?

sitashangaa kusikia Mrisho Gambo amekwenda kwenye kitchen party.
 
HATA JINA LA "MTOTO WA MAMA MUUZA UJI" LINAKERA MNO.
 
Masikini hakuwahi hata kuchambua mcele kabla. Ona hao kina mama ndo wanamuelekeza, mgombea fukuza floor manager wako hakukushauri vema
 
Hakika wakati wa kampeini tutayaona mengi sana ya kufurahisha na ya kusikitisha.

Kutoka mkuu wa mkoa hadi kwenda kumsaidia kuchagua mchere mama nitilie kisa upate kurani zaidi ya kituko.

Gambo akubali tu kuwa kwa Arusha amesha chemka mapeema sana akawaulize watangulizi wake walichokipata Arusha.

 
Gambo atakipata anachokitafuta. Picha bora kabisa. Waarusha wanajua mchele bora na chuya.
 
Hahaaa! Naona nchi nzima CCM wamepanic. Wanabwabwaja na kufanya vitendo vya kihuni huni tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Whoooi[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji119]wamevamia mchele wa watu jamani
Mwaka huu tutaona mengi sana

Hivi wagombea wa upinzani katika Jimbo analogombea ni akina nani!?
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…