Uchaguzi 2020 Gambo - Upikaji ugali ni sehemu ya Kampeni pia

Uchaguzi 2020 Gambo - Upikaji ugali ni sehemu ya Kampeni pia

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Unga limited Arusha

Kazi inaendelea

FB_IMG_16013939132277074.jpg
FB_IMG_16013939077180400.jpg
FB_IMG_16013938891883963.jpg
 
Hizi kampeni anazofanya Gambo hata sizielewi, anaogopa kufanya mikutano kama Lema kwasababu anajua hali yake Arusha Mjini ni mbaya, sasa anaona bora apite kwenye nyumba za watu awasongee ugali tu, ale yeye na wenyeji wake atleast ashibishe tumbo lake.
 
Dah !! Ako kadada kana figa balaa jaman wasau eti nasikia kuna mrishp gambo cjui mrisho gambe apo kwenye picha.
 
Hizi kampeni anazofanya Gambo hata sizielewi, anaogopa kufanya mikutano kama Lema kwasababu anajua hali yake Arusha Mjini ni mbaya, sasa anaona bora apite kwenye nyumba za watu awasongee ugali tu, ale yeye na wenyeji wake atleast ashibishe tumbo lake.

HIYO NI ALAMA YA KUISHIWA SERA!!! HANA KITU CHA KUSEMA KWENYE MKUTANO WA HADHARA KWANI ARUSHA WANAMFAHAMU KUWA NI FISADI NA NDIO MAANA JIWE ALIMUONDOA KAMA MKUU WA MKOA!
 
Back
Top Bottom