Gambosi (Gamboshi) na Nadharia ya uchawi

Nyani Ngabu ni bitozi sana, hata kisukuma anaongea kwa lafudhi ya Queens Bridge
Hua naskia jujuu kuwa kakulia na kuishi Marekani hivyo huenda uzungu umeathiri usukuma wake na kuongea kama Obama tu.
 
Hayuko JF ila Ana magrupu yake WhatsApp. Waafrika tujitambue na Facebook yupo
Asante nilikuwa sijapata kumufahamu na kufahamu kazi yake.
Kumbe akina mshana ndio role model wao
 
Usanii tu. kwahiyo kwenye dunia ya kusadikika kuna maendeleo makubwa lakini kwenye dunia inayoonekana kuna kidongo chekundu.
Ulimwengu usioonekana umeendelea zaidi kuliko huu wa macho.
Maendeleo yote uyaonayo asili yake yameigwa toka ulimwengu usioonekana
 
Ulimwengu usioonekana umeendelea zaidi kuliko huu wa macho.
Maendeleo yote uyaonayo asili yake yameigwa toka ulimwengu usioonekana
Ila mkuu unaamini kwenye ulimwengu usio onekana
 
Gamboshi ndio makao makuu ya uchawi Tza,ni mji Mkubwa sana usiku una ghorofa 120 una treni ya kisasa ya umeme hadi bamuda triangle.
Gamboshi ulianzishwa na Hitler akauficha isionekane live
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…