Hua naskia jujuu kuwa kakulia na kuishi Marekani hivyo huenda uzungu umeathiri usukuma wake na kuongea kama Obama tu.Nyani Ngabu ni bitozi sana, hata kisukuma anaongea kwa lafudhi ya Queens Bridge
Amina.Kweli kabisa na iwe hivyo
Na Mshana Jr aje atoe elimu kidogo.Numbisa njoo tujifunze wote
MziziMkavu kawa galasa siku hizi, kule kwa mchawi nguli, KISSENDI NYANDA NTALIMA MPANDAGOYA MziziMkavu hafanyi kitu zaidi ya kutuma memes TU.
Kumbe uwezo wake umeexpire na baadhi ya watu wanamkalishaMziziMkavu kawa galasa siku hizi, kule kwa mchawi nguli, KISSENDI NYANDA NTALIMA MPANDAGOYA MziziMkavu hafanyi kitu zaidi ya kutuma memes TU.
Usiku huu atatutumia msuko wa nywele za Dullah Mbabe
Huyo KISSENDI NYANDA NTALIMA MPANDAGOYA ni noma, msukuma wa hukohuko Gamboshi na uchawi wake huwa anaumwaga TU hadharaniKumbe uwezo wake umeexpire na baadhi ya watu wanamkalisha
Hayuko JF ila Ana magrupu yake WhatsApp. Waafrika tujitambue na Facebook yupoNilikuwa bado sijamfuatilia.
Je, na himu kuna nyuzi zinazo muhusu nizipitie? Au stori zake
Ulimwengu usioonekana umeendelea zaidi kuliko huu wa macho.Usanii tu. kwahiyo kwenye dunia ya kusadikika kuna maendeleo makubwa lakini kwenye dunia inayoonekana kuna kidongo chekundu.
Huwezi ukawa gwiji kuliko wengine ndo kanuni ya ndumba ilivyo.Utaalamu unazidianaBabu mwendazake walisema eti wanamlinda 900 na hakuwahi kukanusha. He was superstitious