Gambosi (Gamboshi) na Nadharia ya uchawi

Nyani Ngabu huko wamepita na ujumbe wako mmoja hivyo njoo ufidie kwa kujibu hapa Utupe ABC kidogo kuhusu Gamboshi
 
Duh
 
Wadau mim nina shida na mtu yyte wa MWASUBUYA au IKUNGU LYABASHASHI.

Nina ndugu yangu nliondoka nae 2018 huko mwanza yeye ni mtu wa bariadi katika vijiji hvo nlivovitaja. miaka km mitatu sas hvi wa2 wa kwao hawapatikan kwa sim na hajuw tu wanaendeleaje,kwahyo km yupo m2 wa pande hzo anipe mawasiliano yake chondechonde ndgu zangu
 
Gamboshi ndio makao makuu ya uchawi Tza,ni mji Mkubwa sana usiku una ghorofa 120 una treni ya kisasa ya umeme hadi bamuda triangle.
Gamboshi ulianzishwa na Hitler akauficha isionekane live
[emoji23][emoji23][emoji23] khah! Hii mpya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…