Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
Mpaka leo bado nacheza Modern Warfare, nmecheza 2, 3 na 4. Ile 2 kuna mission kama 2 hivi nazipenda sana sana.Back in the day Call of duty modern wa fare II & III , advanced war fare. Ili bamba sana. Sikuizi utu uzima nimewaachia madogo
Mission number 1 ni fire mpaka leo, umenikumbusha mbaliMpaka leo bado nacheza Modern Warfare, nmecheza 2, 3 na 4. Ile 2 kuna mission kama 2 hivi nazipenda sana sana.
1. Mission ambayo mnamtafuta Rojas, mnaenda Brazil huko mnakutana na Militia, so zinapigwa mtaa kwa mtaa. Washkaji(militia) ambao ni maadui wako wengi saana, kile kipande ukicheza kwa awamu ya kwanza utafelifeli.
2. Mnaenda mtafuta Makarov, mission inaitwa Loose ends, mwisho wa Mission Roach na Ghost mnauawa baada ya kusalitiwa na General Shepherd, hii mission utamu wake uko pale ambapo mnaupload data kutoka ktk computer ya Makarov kisha mnasubir data zijae mchomoe UDSM ili muondoke. Humo ndani zinagongwa shaba balaa.
World at War (World War II) wajerumani mziki wake sio mgumu saaana kama mziki wa Wajapan kule misituni na ufukweni.COD world at war dah.. wajerumani walivomdaka mwanangu private Robert Zusman nakua pow wao.. nilichanganyikiwa[emoji28]
Project IGI, I am Going In. Umecheza ipi mkuu? 1 moja ya mission ya kibabe na ni ngumu ni ile ya 4, pia kuna ile ambayo unaenda kumuua yule demu adui ila sasa unafika tu sehemu ambayo yupo anakimbia na helcopter. Hii mission maadui wanavaa kininja hivi.Kuna ngoma inaitwa IG project π
Game inaanza utamu sana hii, saaaana yaani.Need for speed most wanted
Ile mission ni moto saana, mara wengine wanatokea madirishani, maadui wamemwagika kila kona. Mwisho kwenye kukimbia kwenda ktk helcopter ambayo Nikolai yupo nayo wewe unaanguka. Akina Soap, Ghost n.k wao wanaingia, so unakimbia mtaani, unatembea juu ya mabati ili kuifata Helcopter ilipo.Mission number 1 ni fire mpaka leo, umenikumbusha mbali
Kwa budget hio tafuta Laptop yenye RTx 4070, Automatic ram, Cpu etc vitakua vizuri.Boss habari! Naomba msaada wa Specs ya Laptop kwa bei ya 3.7m iwe ya Eng/Gaming laptop.
Chief-Mkwawa
Mbona nyingi wakatia rtx 2060 hata Kwa 1.5Boss habari! Naomba msaada wa Specs ya Laptop kwa bei ya 3.7m iwe ya Eng/Gaming laptop.
Chief-Mkwawa
Oya mwanangu Upo wapiMpaka leo bado nacheza Modern Warfare, nmecheza 2, 3 na 4. Ile 2 kuna mission kama 2 hivi nazipenda sana sana.
1. Mission ambayo mnamtafuta Rojas, mnaenda Brazil huko mnakutana na Militia, so zinapigwa mtaa kwa mtaa. Washkaji(militia) ambao ni maadui wako wengi saana, kile kipande ukicheza kwa awamu ya kwanza utafelifeli.
2. Mnaenda mtafuta Makarov, mission inaitwa Loose ends, mwisho wa Mission Roach na Ghost mnauawa baada ya kusalitiwa na General Shepherd, hii mission utamu wake uko pale ambapo mnaupload data kutoka ktk computer ya Makarov kisha mnasubir data zijae mchomoe UDSM ili muondoke. Humo ndani zinagongwa shaba balaa.
Weka skrinishoti kwanzaaaHuwa nakereka kwenye Ages of Empires Expansion ukichelewa kukiua kile kibabu kichawi kinabadilisha trebuchets zangu au stone engines zangu kuwa za kambi yake kikizibadilisha kichawi zana zako za vita kuwa za jeshi lao zana hizo zinaanza kukushambulia zinakuwa jeshi la maadui zako wa kirumi
Sure manGame inaanza utamu sana hii, saaaana yaani.
Smack down hatari sana, siku hizo tuko na 2k 23.
Nipo Dar mkuuOya mwanangu Upo wapi
Ni project IGI mkuuKuna ngoma inaitwa IG project π
Mm nataka nijichange sahivi ninunue kiti na sterlingNimeendesha hilo...Scania zile...nikawa na Garage kila kona...nikaajiri sana ππππ
Limefunza ujasiria mali
Hata Mimi nipo dar tuwasiliane mkuu NinaNipo Dar mkuu
1. GTAHi?
DAYS GONE ni game ambalo liliniteka kihisia na kiakili mpaka nikajihisi na mimi ni moja ya character wa mule ndani ya game mpaka siku ile namaliza mission ya mwisho najihisi kama naenda kupoteza marafiki zangu niliodumu nao kwa muda mrefu
Warning Mission za Horde ni za kuepuka kama hauna uvumilivu unaweza usimalize mission wale wadudu ukiwaona tu kwanza vidole vinajaa Jasho ghafla pili mapigo ya moyo yanaenda mbio mpaka unamaliza kuwauwa unakuta baadhi ya vitu vyako vilivyokua mezani vimedondoka chini mpaka unafikili kama ulikua unapambana nao liveView attachment 3196996View attachment 3196997View attachment 3196998View attachment 3197000