Game gani, na upo level gani kwenye simu?

Game gani, na upo level gani kwenye simu?

brick game kwenye iphone yangu kila siku namaliza speed ndio nalala😛, lina speed 10
 
IMG_4475.JPG

Toon Blast Level 2407
 
Hivi fundi maiko ujue siku ile umepost apps za kwenye simu yako ndo niliona zumbla nikaenda kuidownload. Ndo nipo level ya 26; ntakuwa serious nayo nikukaribie kidogo
Hauwezi kuamini nimeachia bonge la smile baada ya kujua uliona cha kuchukua kwenye ile screenshot [emoji173][emoji173][emoji173][emoji173].

Umeona ilivyo tamu sasa. Njoo taratibu ila sidhani kama utanifikia[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hauwezi kuamini nimeachia bonge la smile baada ya kujua uliona cha kuchukua kwenye ile screenshot [emoji173][emoji173][emoji173][emoji173].

Umeona ilivyo tamu sasa. Njoo taratibu ila sidhani kama utanifikia[emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kweli kabisa fundi Maiko niliichukua kwenye screenshot yako (ulinikumbusha kuhusu zuma). Kwa kweli sijui kama ntakufikia; ngoja nijikongoje
 
Ni kweli kabisa fundi Maiko niliichukua kwenye screenshot yako (ulinikumbusha kuhusu zuma). Kwa kweli sijui kama ntakufikia; ngoja nijikongoje
Fundi maiko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umenikumbusha mbali sana.

Kuna level nyingine ngumu ngumu zinachosha yaani. Mimi kuna level ilinitesa karibia wiki.
 
Hahaaaaa na hapo nasuasua ningeshaingia kwenye World Of Champions (level 3000)
Asante
Nitafika huko maana kila siku kuanzia saa 5 usiku hadi saa 6 usiku lazima nicheze angalau 10 hadi 20...

Tatizo la hili game ukipoteza simu unaanza upyaa
 
Asee hii kitu nizaidi ya kilevi..Gem zasimu zilichemsha sana kichwa changu yn unakuta upo umetulia unawaza mambo mengine kabisa lkn kichwani unakuta gemu tu ndo linalozunguuka kwa kasi yn ilikua nikiwa free hata sekunde 10 lazima nicheze ili niongeze levo zaid nazaid nilikua naamka hadi night kali nacheza,kwakweli tangu kile kimeo kipotee nikanunua kimeo kingine yapata mwaka sasa sijadanlod tena Gemu lolote
 
Euro truck simulator nipo level 15

Turboprop flight simulator nipo katika Windfarm na Dam landing nashindwa kuzimalizia izo level

Na Checkers nipo Grand master nashindwa kumfunga kila nikicheza
Screenshot_20191015-110841.jpeg
 
Back
Top Bottom