Game ya Azam vs Simba ichunguzwe

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Mpaka hivi sasa Simba inaongoza kwa magoli 3-1 , lakini kwa namna timu ya Azam inavyocheza ni dhahiri iko chini ya kiwango mno ! ni lazima kuchunguza ili kujiridhisha kama hakuna mchezo mchafu , tumeingia kuangalia soka si kuangalia vituko , Hii si Azam tunayoijua.

Pamoja na kwamba mimi ni mwana simba lakini kiukweli tunahitaji ushindi usio na mawaa ili timu yetu isibweteke .

NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO .
 
Ukiishi kwa kukariri ni hatari sana na ndio shida tunayopata hata kwenye serikali yetu waliishi kwa kusifiwa hata wakikosea,

Sasa hivi wakikosolewa inakua shida ya kutekana na kupigana risasi

Kwahiyo Azam kufungwa ni jambo la kawaida hata kama walizoea kuifunga Simba

Mpira ni makosa na Azam kakosea Simba kamkosoa kwa gori 3 so usimteke wala kutaka kumpiga risasi mnyama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…