eastmea
Senior Member
- Jul 28, 2018
- 159
- 133
Ndugu, jamaaa na marafiki pamoja na wadau mbalimbali wa huu mziki wa bongo fleva nnawaomba tusaidizane kulichambua hili game la bongo fleva.
Mtazamo wangu: game la bongo fleva linazidi kuwa gumu kadri siku zinavyozidi kwenda mbele hii ni kutokana na jinsi ambavyo wadau wa mziki jinsi wanavyoliendesha game, game la bongo fleva limegawanyika katika makundi mbalimbali mfano team clouds ambao wapo pamoja na team kiba pia kuna kundi jingine ambao ni team WCB ,mgawanyiko katika haya makundi kinafanya wasanii wengine wachukiliwe kawaida na mashabiki mfano msanii ambaye hausiani na haya makundi akifanya show yake mashabiki hawatokei kussuport kwa wingi. Lakin mfano wasanii ambao wapo katika mgawanyiko wa haya makundi wakifanya show mashabiki wanatokea kwa wingi mfano kingkiba,diamond, harmonize,aslay,mbosso,rayvanny,nandy, lavalava nk pia huu mgawanyiko umefanya wasanii ambao hawausiani na haya makundi kutosikika kwa kazi zao hii ni kutokana na mashabiki wapo busy na watu wao wanaowasapot.
Pia hizi team kumefanya kuwepo
Wasanii ambao hawausiani na hizi team hukosa sapot hata kama wimbo ni mzur lakin wasanii ambao wapo kwenye hizi team wakitoa wimbo hata kama ni mbaya mashabiki watasapot na kuufanya kuwa wimbo pendwa
Pia Game ya mziki sahivi emegawanyika katika makundi mawili yenye nguvu kwa sasa amboyo ni clouds vs WCB.haya makundi yanawaathili wote wawili mfano clouds ni media iliyojijengea mizizi katika habari ya mawasiliano ambapo wanapatikana katika nchi nzima kwenye swala zima la radio,hakuna ambaye afahamu kuwa clouds hawapigi nyimbo za WCB ambapo inawapunguzia nyimbo zao kutosikika kwa haraka katika maeneo husika ambapo clouds wanapatikana pia hakuna asiyefahamu kuwa WCB ni team ambayo imejijengea mashabiki wengi ndani na nje ya Tanzania ambapo imepelekea mashabiki wake kutosikiliza team media ya clouds ambapo mashabiki wamehamia katika media mbalimbali especially times FM
Pia mwaka huu tutashuhudia matamasha mawili ambayo ni fiesta vs wasafi festival kwa upande wa matamasha ndo utaenda kudhihilisha nani ana mashabiki wengi hii atajijidhilisha katika mahudhulio ya matamasha hayo kwa sababu mashabiki wa WCB hawatahudhulia katika tamasha la fiesta pia hivyohivyo mashabiki wa fiesta hawatahudhulis katika tamasha la wasafi festival hii ni kutokana na chuki ambazo wadau wakubwa wa mziki wamewajengea mashabiki
Ushauri wangu:: wadau wa mziki inatakiwa waungane katika kuufanya mziki wa bongo fleva kuwa ndo mziki wa afrika kama walivyoufanya kuwa mziki wa afrika mashariki inatakiwa waige kwa wenzetu wamarekani na wanigeria ambao wameungana hata kama kuna beef Bali litakuwa haliusiani na media litakuwa msanii kwa msanii
Mtazamo wangu: game la bongo fleva linazidi kuwa gumu kadri siku zinavyozidi kwenda mbele hii ni kutokana na jinsi ambavyo wadau wa mziki jinsi wanavyoliendesha game, game la bongo fleva limegawanyika katika makundi mbalimbali mfano team clouds ambao wapo pamoja na team kiba pia kuna kundi jingine ambao ni team WCB ,mgawanyiko katika haya makundi kinafanya wasanii wengine wachukiliwe kawaida na mashabiki mfano msanii ambaye hausiani na haya makundi akifanya show yake mashabiki hawatokei kussuport kwa wingi. Lakin mfano wasanii ambao wapo katika mgawanyiko wa haya makundi wakifanya show mashabiki wanatokea kwa wingi mfano kingkiba,diamond, harmonize,aslay,mbosso,rayvanny,nandy, lavalava nk pia huu mgawanyiko umefanya wasanii ambao hawausiani na haya makundi kutosikika kwa kazi zao hii ni kutokana na mashabiki wapo busy na watu wao wanaowasapot.
Pia hizi team kumefanya kuwepo
Wasanii ambao hawausiani na hizi team hukosa sapot hata kama wimbo ni mzur lakin wasanii ambao wapo kwenye hizi team wakitoa wimbo hata kama ni mbaya mashabiki watasapot na kuufanya kuwa wimbo pendwa
Pia Game ya mziki sahivi emegawanyika katika makundi mawili yenye nguvu kwa sasa amboyo ni clouds vs WCB.haya makundi yanawaathili wote wawili mfano clouds ni media iliyojijengea mizizi katika habari ya mawasiliano ambapo wanapatikana katika nchi nzima kwenye swala zima la radio,hakuna ambaye afahamu kuwa clouds hawapigi nyimbo za WCB ambapo inawapunguzia nyimbo zao kutosikika kwa haraka katika maeneo husika ambapo clouds wanapatikana pia hakuna asiyefahamu kuwa WCB ni team ambayo imejijengea mashabiki wengi ndani na nje ya Tanzania ambapo imepelekea mashabiki wake kutosikiliza team media ya clouds ambapo mashabiki wamehamia katika media mbalimbali especially times FM
Pia mwaka huu tutashuhudia matamasha mawili ambayo ni fiesta vs wasafi festival kwa upande wa matamasha ndo utaenda kudhihilisha nani ana mashabiki wengi hii atajijidhilisha katika mahudhulio ya matamasha hayo kwa sababu mashabiki wa WCB hawatahudhulia katika tamasha la fiesta pia hivyohivyo mashabiki wa fiesta hawatahudhulis katika tamasha la wasafi festival hii ni kutokana na chuki ambazo wadau wakubwa wa mziki wamewajengea mashabiki
Ushauri wangu:: wadau wa mziki inatakiwa waungane katika kuufanya mziki wa bongo fleva kuwa ndo mziki wa afrika kama walivyoufanya kuwa mziki wa afrika mashariki inatakiwa waige kwa wenzetu wamarekani na wanigeria ambao wameungana hata kama kuna beef Bali litakuwa haliusiani na media litakuwa msanii kwa msanii