Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
You'll Never Walk AloneYNWA Ina maana gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You'll Never Walk AloneYNWA Ina maana gani?
Hivi ulianza kufuatilia hizi tambo toka mwanzo au?Mashabiki wengi wa Simba wameshatengeneza mentality ya wao kushinda dhidi ya Yanga Tena kwa magoal mengi kwa kuamini Yanga ni mbovu.Me ni mshabiki wa Simba lakini kwenye derby chochote kinaweza kutokea kwa team zote mbili kitendo Cha Yanga kuaidiwa mil 200 na uongozi wao Kama wakishinda kitafanya wachezaji wao watajitoa kwel kwel.Na ipo wazi physically Yanga ni Bora kuliko Simba Sawa tunawaimba Chama, Luis unaweza ukashangaa Hawa wote wakawa chini ya kiwango au wakabanwa na ukitaka uiue Simba mzuie Mkude asiwe na madhara huyu ndio anayofanya Simba icheze ndomaana game ya kwanza alivyopotezwa Mkude Simba ilizidiwa especially kipindi Cha pili.
Ushauri wangu kwa mashabiki wenzangu wa Simba wasiingie na matokeo yao uwanjani matokeo yanapokuwa tofauti ndo tunaona matukio ya watu kufa kwa pressure wengine kuzimia Cha msingi tusubili dk 90 ndo zitakazo amua.
Mbumbumbu fcHapana, mechi hii imebebwa na jina tu na ule U-derby lkn haitakuwa ngumu kama iliyopita simba na azam....yanga anapigwa 4
Hapana, mechi hii imebebwa na jina tu na ule U-derby lkn haitakuwa ngumu kama iliyopita simba na azam....yanga anapigwa 4
Ulilotabiri limetimia,tunasubiri muanze kufukuzanaMashabiki wengi wa Simba wameshatengeneza mentality ya wao kushinda dhidi ya Yanga Tena kwa magoal mengi kwa kuamini Yanga ni mbovu.Me ni mshabiki wa Simba lakini kwenye derby chochote kinaweza kutokea kwa team zote mbili kitendo Cha Yanga kuaidiwa mil 200 na uongozi wao Kama wakishinda kitafanya wachezaji wao watajitoa kwel kwel.Na ipo wazi physically Yanga ni Bora kuliko Simba Sawa tunawaimba Chama, Luis unaweza ukashangaa Hawa wote wakawa chini ya kiwango au wakabanwa na ukitaka uiue Simba mzuie Mkude asiwe na madhara huyu ndio anayofanya Simba icheze ndomaana game ya kwanza alivyopotezwa Mkude Simba ilizidiwa especially kipindi Cha pili.
Ushauri wangu kwa mashabiki wenzangu wa Simba wasiingie na matokeo yao uwanjani matokeo yanapokuwa tofauti ndo tunaona matukio ya watu kufa kwa pressure wengine kuzimia Cha msingi tusubili dk 90 ndo zitakazo amua.