Gamers only: FIFA vs PES ipi unaikubali?

Gamers only: FIFA vs PES ipi unaikubali?

Kwenye kulicheza FIFA ni gumu kulinganisha na PES, mfano mimi game langu la kwanza kulicheza ni FIFA 14 la kwenye PC. Washkaj zangu wote tulikuwa tunacheza ligi kwenye FIFA, ila siku niliyopata PES wale washkaji ambao tulianza kucheza FIFA pamoja kwenye PC yangu wote tukalisusa FIFA na kutekwa na PES ila wale walioanza kabla yetu wakaendelea nalo na hawakulipenda PES. Kitu pekee kinachonishinda kwenye FIFA kuna mipira ya kuchop mabeki wanakatika sana na ndo mbinu kubwa ya ushindi na mpaka leo sijajua inakabwa vipi tofauti na PES nimecheza kwa kipindi kifupi lakini nimejua vizuri kukaba na kushambulia.
 
Kwa wanaocheza game ya mpira, mimi naikubali zaidi Pes hasa uwepo wa Uefa champions league, bado Fifa haikuti Pes, kwa mtazamo wangu.

Wewe unaikubali ipi?
Fifa...

Ujinga wa Pes ni kwamba unakutana na mtu anakuambia nikufunge mangapi?[emoji15] PES ukiizoea wewe utakuwa King. Mtu ana memorise vimistari vya uwanjani, then akishoot hudaki[emoji15] .

In Fifa huu ujinga haupo.

-callmeGhost
 
mimi still ni fan wa pes, ila since 2014 naona wanazingua tu, wameacha root zao na innovation ni sifuri.

nina week now nacheza pes 18 kidogo naona wameimprove ila bado naona wana safari ndefu.

nimecheza FIFA 17 japo si mpenzi wa gameplay ya FIFA ila frostbite engine ni next level, ile story ya Alex Hunter ya kwenye journey ni bonge la idea.
wish Konami waje na kitu kama kile,
Maelezo kdgo mkuu hiyo journey ndo kitu gan?
 
Me nitabaki fan wa FIFA siku zote hata kama hakuna UEFA
Pes wenyewe wanazingua karibu Team zote kubwa hazina majina yao halisi. hawa jamaa pes hawana leseni kwa team nyingi
Fifa ndo mpango mzima FIFA 18 inaendelea Journey Hakuna kutoka nje mzee
Unaweka patch tu. Mkuu kila kitu kinakuwa sawa.
 
kwenye kulicheza fifa ni gumu kulinganisha na pes,mfano mimi game langu la kwanza kulicheza ni fifa 14 la kwenye pc .washkaj zangu wote tulikua tunacheza ligi kwenye fifa ,ila siku niliyopata PES wale washkaji ambao tulianza kucheza FIFA pamoja kwenye pc yangu wote tukalisusa FIFA na kutekwa na PES ila wale walioanza kabla yetu wakaendelea nalo na hawakulipenda PES.kitu pekee kinnachonishinda kwenye fifa kuna mipira ya kuchop mabeki wanakatika sana na ndo mbinu kubwa ya ushindi na mpaka leo cjajua inakabwa vip tofaut na PES nimecheza kwa kipindi kifup lakin nimejua vizur kukaba na kushambulia.
mkuu kuanzia fifa 16 hata uchop vipi kushinda ngumu walijirekebisha ila imeboa maana ni kama chop haina kazi tena hata mchezaji awe in scoring position ukachop beki anaikuta siku hizi.
 
daa mmenikumbusha mbali sana nakumbuka wakati tuko chuo kuna wanyama walikuwa wakakali balaa kwenye fifa mpaka tulikuwa na ligi moja matata Fifa mi naikubali sababu kwanza ngumu kucheza haf magoli ya hovyo hakuna mtu yupo kati akipiga kidogo tu anafunga
 
Pc angu ina ram 3 gb...lkn nnaweza cheza pes 17...bila shida...
Fifa ...nimewaicheza ya 2007 ...kutumia pc hyo hyo...je nikichukua fifa 18..ninaweza cheza kwa ram hyo
Maana hata pes 17...requiment ake ilikuwa ram 8gb...lkn me nmeicheza kwa 3gb....msaada hapo wakuu
Nataman kuamia fifa lkn uwezo wa pc angu unaniogopesha..maana ku download game n pesa
 
Pc angu ina ram 3 gb...lkn nnaweza cheza pes 17...bila shida...
Fifa ...nimewaicheza ya 2007 ...kutumia pc hyo hyo...je nikichukua fifa 18..ninaweza cheza kwa ram hyo
Maana hata pes 17...requiment ake ilikuwa ram 8gb...lkn me nmeicheza kwa 3gb....msaada hapo wakuu
Nataman kuamia fifa lkn uwezo wa pc angu unaniogopesha..maana ku download game n pesa
Pes 2017 ram ni 1gb ila inapendekezwa utumie 2gb. Wewe hiyo requirement ya 8gb uliyona wapi?.

Fifa 17 na 18 zinataka kuanzia 4gb ram. But inapendekezwa utumie 6gb ram.


Halafu kwenye game ram pekee haitoshi kama gpu majanga ni kazi bure hata uwe na 64gb ram.
 
Maelezo kdgo mkuu hiyo journey ndo kitu gan?
ni kama become a legend ya kwenye pes ambayo unamchezesha mchezaji mmoja ila FIFA wameidesign next level.

wewe unakuwa kama Alex hunter kinda wa academy una rafiki yako mnatoka pamoja academy, kunaitishwa competition ya kutafuta vipaji mnaenda pamoja na wote wawili mnasajiliwa timu moja ya premier league (unachagua mwenyewe),

ukiwa timu yako mpya striker anaumia wakati unadhani ndio wakati wa kupewa chance kikosi cha kwanza anasajiliwa harry kane au kama upo spurs anasajiliwa di maria. then unakaa bench


premier league inakushinda unatolewa kwa mkopo timu ya championship kama ni newcastle au norwich, yule rafiki yako anabaki premier league, baadae rafiki yako anakuja kujiona bab kubwa mnazinguana, unafanya vizuri januari unarudi premier league na rafiki yako anauzwa timu pinzani, mnaeza kutana fainali FA au ubingwa wa ligi etc.

stori inategemeana unacheza vipi, mfano ukifanya vizuri mazoezini kocha anakukubali unaanza mechi nyigi, ukiongea pumba mbele ya waandishi wa habari kocha anakuwa hakupendi sana, ukimsifia sana kocha mashabiki nao wanakuona sie, ukiwa na.mashabiki wengi social media unapata sponsors za adidas kwenye matangazo na viatu etc.

kama pc yako inakubali FIFA 17 ijaribu utapata experience mpya kabisa.

part 2 ya hii story inaendelea fifa 18, huko sasa ndo utakutana na masuper star kina Ronaldo.
 
Fifa...

Ujinga wa Pes ni kwamba unakutana na mtu anakuambia nikufunge mangapi?[emoji15] PES ukiizoea wewe utakuwa King. Mtu ana memorise vimistari vya uwanjani, then akishoot hudaki[emoji15] .

In Fifa huu ujinga haupo.

-callmeGhost
pes za zamani hizo, hata fifa zipo hivyo,

ujue sababu pes zina patch mtu anaweza kukudanganya hii pes 2016 kumbe ni pes ya 2002,

kuna moja hio ukianza tu mpira unashoot kipa anakuwa ametoka, hivyo kila mechi una.uhakika na goli 1 kupanda.
 
yap ndo miaka hiyo game zilivyokuwa,

leo ukienda banda la ps2 utakuta pes 2017, kiuhalisia hakuna pes 2017 la ps2 ni lile lile la zamani wame patch tu, hivyo gameplay yake inakuwa ya kizamani pia.
ila PES hau fell gameplay vizuri kama fifa
 
mimi still ni fan wa pes, ila since 2014 naona wanazingua tu, wameacha root zao na innovation ni sifuri.

nina week now nacheza pes 18 kidogo naona wameimprove ila bado naona wana safari ndefu.

nimecheza FIFA 17 japo si mpenzi wa gameplay ya FIFA ila frostbite engine ni next level, ile story ya Alex Hunter ya kwenye journey ni bonge la idea.
wish Konami waje na kitu kama kile,
PES niliwaelewa kidogo kwenye XBOX 360
 
Me nitabaki fan wa FIFA siku zote hata kama hakuna UEFA
Pes wenyewe wanazingua karibu Team zote kubwa hazina majina yao halisi. hawa jamaa pes hawana leseni kwa team nyingi
Fifa ndo mpango mzima FIFA 18 inaendelea Journey Hakuna kutoka nje mzee
Hawa beginners ndio wanaishabikia PES zaidi kuliko FIFA, FIFA ni mnyama mwingine bhana.
 
fifa ndio wamejipanga vizuri lakini niseme ukweli tokea nipo daraxa 7 nilianza kucheza fifa ya ps2 nikaona control zake uhalisi kwa kila kitu mfano handball(kama mtu akishika lazima uwe foul) but still pes hakuna mpka now kwenye graphics pes wapo na konami hawa wajapani ni wazuri lakin sasa wameshindwa kushindana na fifa kutokana na tokea zamani fifa imekamilika karbu timu muhimu dunia mpka za afrika kama kaizer chief ila pes hawana baadhi ya timu na hata league ni chache na pia hizo timu ni chache zimewekwa majina ambayo kama hujui football backgroud huwez tambua kama (liverpool inaitwa meysdiey sijui ) wamejitaidi hizi version mpya kuanzia 17 tuu ila izo nyingine fans wa pes ni mashahidi.kuja kwa watengenezaji wapya wa fifa ni mwanga mzuri nimecheza fifa karibu zote ila fifa nzur hawatakuja kuitengeneza ni ya fifa14 cover ya messi.nawasilisha kwa wote wakuu fifafan
FIFA 14 ndo hatari, sikuwahi ipenda Game kama hii.
 
Back
Top Bottom