Gaming Act inaruhusu watu wazima kucheza kamari. Sasa mbona Waziri Mkuu anamzuia huyu jamaa?

Gaming Act inaruhusu watu wazima kucheza kamari. Sasa mbona Waziri Mkuu anamzuia huyu jamaa?

Majaliwa anatakiwa kuikemea TBC kwa kuhamasisha kamari.
 
PM angesema hivi, kamari ni Bahati nasibu (probability). Probability ya kuliwa ni kubwa kuliko kula. Angeendelea kumwambia Kijana kuwa CHEZA UNACHOKIMUDU KUPOTEZA(PLAY THAT YOU CAN AFFORD TO LOOSE)

Angempa mfano: Kama unauhakika kwa siku unaingiza 12,000 na unaona ukitumia 500 kwenye Bet haina Madhara basi tumia hiyo lakini usizidishe hapo, itabidi usubiri tena kesho uingize 12000 ingine ndio ucheze tena kwa 500.

Na kama unaingiza kwa mwezi let say 450k na unaona ukiitupa 10k kwenye kamari sio issue kubwa basi cheza hiyo 10k na ukiliwa usicheze hadi mwezi mwingine, uingize tena 450k ndio ucheze bet ya 10k.

Ukilazimisha utakuwa unaliwa na kujikuta kwenye Madeni na depression. Lakini ukicheza kwa Mipango utajikuta unaliwa bila kuumia na siku ukila mzigo mrefu wanaumia wao kampuni za kubet.

Nimesema hivi kwa sababu Serikali ndio imeweka hizi Kamari, inamana zipo kisheria. Kumkataza Yule mtumishi wa Umma peke yake na kuwaacha Watanzania wengine waendelee kucheza huo ni Ubaguzi, tukumbuke kuna wanaofanya Sector binafsi na maeneo mengine nao ni Waathirika wa Kamari hizi hizi.

Kumkataza jamaa ni sawa na kusema kampuni za Betting ziondoke. For me, Kampuni za Bahati Nasibu zote za kwenye Maeneo mengine kuanzia zile za Redioni, hizi tunazotumiwa kwenye Simu zingeondoka alfu zingebaki Betting za Mpira tu. Mpira ndio Betting pekee ambayo unaliwa kihalali kwa maana mechi zinachezwa na Matokeo unayaona. Ila tucheze kwa akili sana, tusije tukajikuta katika Depression.

Nawasilisha.
 
yuko sawaa yani ujue huyuu amekubuu kwenye kubet mpaka muda wakazi yupo busy na mikekaaa...anakopa aweke helaa...akiliwa stress kama zote mpaka kazi hawezi kufanya.
Kama ni hivyo mwamba anafeli
 
Gaming Act inaruhusu Addiction ?

Lakini hizi ni Siasa wanashindwa nini kupunguza / kutoa matangazo ya Kamari kwenye vyombo mpaka pale usiku wakati minors wamelala ? Au sababu Serikali inachukua takribani asilimia 15 kwa kile anayeshinda ?

Yaani unatangazia watoto kila dakika kuhusu kamari na kila mtaa hata minors wanashiriki alafu.... !!!!!
20%
10 kutoka kwa mshindi na 10 kutoka kwa kampuni kwenda kwa Serukali
 
Angempa mfano: Kama unauhakika kwa siku unaingiza 12,000 na unaona ukitumia 500 kwenye Bet haina Madhara basi tumia hiyo lakini usizidishe hapo, itabidi usubiri tena kesho uingize 12000 ingine ndio ucheze tena kwa 500.
Na hivi ndivyo inavyotakiwa ila watu hawajui hii kanuni kuna mzee aliwahi kunisisitiza hata ukitaka kumkopesha mtu mkope kiasi kile ambacho hata asipokurudishia haitokuumiza
 
Kamari Ni balaa. Nimepoteza pesa nyingi Sana kupitia Redio Free Afrika na sijawahi kushinda hata Mara Moja.

View attachment 2431783
Hii unayocheza wewe ni utapeli mtupu, unajua nini kinafanyika kumpata mshindi? Kamari pekee ya kucheza ni Sports betting basi, hizo nyingine ujanja unjanja na wizi mwingi.
 
Kwahiyo yeye kama mtendaji mkuu wa seikali karuhusu wananchi wawanufaishe watu wachache tu na huku serikali yao wanajua kamali ni kuliwa tu.

Hovyo kabisa.
 
PM angesema hivi, kamari ni Bahati nasibu (probability). Probability ya kuliwa ni kubwa kuliko kula. Angeendelea kumwambia Kijana kuwa CHEZA UNACHOKIMUDU KUPOTEZA(PLAY THAT YOU CAN AFFORD TO LOOSE)

Angempa mfano: Kama unauhakika kwa siku unaingiza 12,000 na unaona ukitumia 500 kwenye Bet haina Madhara basi tumia hiyo lakini usizidishe hapo, itabidi usubiri tena kesho uingize 12000 ingine ndio ucheze tena kwa 500.

Na kama unaingiza kwa mwezi let say 450k na unaona ukiitupa 10k kwenye kamari sio issue kubwa basi cheza hiyo 10k na ukiliwa usicheze hadi mwezi mwingine, uingize tena 450k ndio ucheze bet ya 10k.

Ukilazimisha utakuwa unaliwa na kujikuta kwenye Madeni na depression. Lakini ukicheza kwa Mipango utajikuta unaliwa bila kuumia na siku ukila mzigo mrefu wanaumia wao kampuni za kubet.

Nimesema hivi kwa sababu Serikali ndio imeweka hizi Kamari, inamana zipo kisheria. Kumkataza Yule mtumishi wa Umma peke yake na kuwaacha Watanzania wengine waendelee kucheza huo ni Ubaguzi, tukumbuke kuna wanaofanya Sector binafsi na maeneo mengine nao ni Waathirika wa Kamari hizi hizi.

Kumkataza jamaa ni sawa na kusema kampuni za Betting ziondoke. For me, Kampuni za Bahati Nasibu zote za kwenye Maeneo mengine kuanzia zile za Redioni, hizi tunazotumiwa kwenye Simu zingeondoka alfu zingebaki Betting za Mpira tu. Mpira ndio Betting pekee ambayo unaliwa kihalali kwa maana mechi zinachezwa na Matokeo unayaona. Ila tucheze kwa akili sana, tusije tukajikuta katika Depression.

Nawasilisha.
Hata betting ya Mpira ni mbaya, ona Kama Ihefu walivyosababisha depression kwa watu, hujui kuna watu wamelazwa
 
Back
Top Bottom