Kumbe umetumia utashi wako tu?Naelewa falsafa za gamond
Naona Nyuma -Mwiko una presha na usajili vijana wa Simba.......kwa siku unatoa mabandiko zaidi ya kumi kujadili usajili wa LunyasiππImethibitika kuwa kocha la makombe..aka kocha la CAF champions league Gamond anawachora Simba wanavyosajili cheap labor badala ya kusajili quality players
Sababu
Gamond anaamini Ili kuwe na ushindani lazima kuwe na power balance between Simba na Yanga so Kwa usajili huu wa bila kocha inamaanisha bado Yanga atakuwa unstoppable View attachment 3033995
Mchambaji!kanye uendeeYaaah mkuu by professional...Mimi ni mchambuzi
Unasikitika kuchukua Wazee.....wanaoenda kustaafu π πHapana mkuu..ila nasikitika sana
dogo njoo pm nikupe kiazi yakufanya utachanganyikiwa Kwa kukosa kiazi mtaani hapoImethibitika kuwa kocha la makombe..aka kocha la CAF champions league Gamond anawachora Simba wanavyosajili cheap labor badala ya kusajili quality players
Sababu
Gamond anaamini Ili kuwe na ushindani lazima kuwe na power balance between Simba na Yanga so Kwa usajili huu wa bila kocha inamaanisha bado Yanga atakuwa unstoppable View attachment 3033995
π π π kichwa maji wewe...unaishobokea sna Simba..unalala unaiotaYaaah mkuu by professional...Mimi ni mchambuzi
By profession sio by professional.Yaaah mkuu by professional...Mimi ni mchambuzi
Mchambuzi wa ugali labdaYaaah mkuu by professional...Mimi ni mchambuzi
Kwani yeye alipoenda Yanga aliwasajili akina Diara,Lomalisa, Job, Baca, Aucho, Mudathir, Aziz Ki, Musonda, Mzize na Mwamnyeto?Imethibitika kuwa kocha la makombe..aka kocha la CAF champions league Gamond anawachora Simba wanavyosajili cheap labor badala ya kusajili quality players
Sababu
Gamond anaamini Ili kuwe na ushindani lazima kuwe na power balance between Simba na Yanga so Kwa usajili huu wa bila kocha inamaanisha bado Yanga atakuwa unstoppable View attachment 3033995