Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kweli wewe ni mcha MBUZI!Yaaah mkuu by professional...Mimi ni mchambuzi
Pasi Ahmed kumwambia; kwamba professional team inasajili wachezaji bila coacher!.Source ya taarifa mkuu iko wap? Au Ahmedy Ally kakwambia
Simba inategemea wachawi zaidi kuliko wataalam wa soka la uwanjaniImethibitika kuwa kocha la makombe..aka kocha la CAF champions league Gamond anawachora Simba wanavyosajili cheap labor badala ya kusajili quality players
Sababu
Gamond anaamini Ili kuwe na ushindani lazima kuwe na power balance between Simba na Yanga so Kwa usajili huu wa bila kocha inamaanisha bado Yanga atakuwa unstoppable View attachment 3033995
Unachambua au unasasambua?Yaaah mkuu by professional...Mimi ni mchambuzi
Uchambuzi ni profession? Training inapatikana wapi na formal qualification ni zipi-- certificate? diploma? digrii?Yaaah mkuu by professional...Mimi ni mchambuzi
Huyo ni chura tu hajui kitu.Uchambuzi ni profession? Training inapatikana wapi na formal qualification ni zipi-- certificate? diploma? digrii?
Niishie hapa 😂Nafanya football analysis. ....