[emoji23][emoji23] kafanya nn mkuuHersi acha dharau.
View attachment 3066082
Magezi Yanakuwa na ujinga mwingi [emoji23]Umenikumbusha magazeti ya Alaasiri na Dar Leo...
Utakutwa kichwa cha habari "OSAMA AKAMATWA"!.
Ukisoma ndani kumbe aliyekamatwa ni bwana Husein Sharif a.k.a OSAMA wa Mtoni kwa Azizi Ali!!!.
Hatari sana ili wauze magazeti 😁Umenikumbusha magazeti ya Alaasiri na Dar Leo...
Utakutwa kichwa cha habari "OSAMA AKAMATWA"!.
Ukisoma ndani kumbe aliyekamatwa ni bwana Husein Sharif a.k.a OSAMA wa Mtoni kwa Azizi Ali!!!.
Aaaah wapi.Mzee azam niliyoiona juzi ni hatari sana
Nani? Huyu huyu Kolo FC.Lazima atoe hizo kauli ili kujifurahisha mara ya mwisho maana anajua ligi ikianza hawezi kumkuta Simba, na hivi atamkuta Simba ameshacheza game mbili.
ni ngumu kuwa na upinzani kweny low standard level kwahyo yanga kukosa upizani hakuna cha ajabuTatizo Haina upinzani