Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
“Napenda kucheza aina hii ya mechi, tumecheza na Simba sasa Azam ni kipimo sahihi kuelekea msimu mpya, tumekuwa na mwendelezo mzuri tokea tumecheza fainali Zanzibar, napocheza na wapinzani wagumu basi unaimarisha zaidi kikosi chako kiushindani, nina matumaini kesho tutacheza vizuri” Kocha Mkuu Miguel Gamondi kuelekea mchezo wa fainali #ngaoyajamiii dhidi ya Azam Fc.
#timuyawananchi
#daimambelenyumamwiko
Je unakubaliana na suala hili la master gamond????
#timuyawananchi
#daimambelenyumamwiko
Je unakubaliana na suala hili la master gamond????