Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Kocha anawezaje kwenda kinyume na matarajio ya klab? Kwani yeye ndiyo mchezaji??Yanga sio wahuni kama timu nyingine kama ulivyoain8sha hapo. Kocha atapinzwa kwa kwenda kinyume na matarajio waliyowekeana kwenye mikataba na sio mambo mengine. Its all about proffessionalism not otherwise
Soma uelewe halafu ndio utoe majibuKocha anawezaje kwenda kinyume na matarajio ya klab? Kwani yeye ndiyo mchezaji??
Yanga timu inayoendeshwa kimauzauza.Bahati mbaya Yanga haiendeshwi kijanja janja.
Wanakula ukoko wa kande lakini wanapinda kibyongo kama wanakula biriani... 😀 😀 😀Yanga imebakia makopo..
Wanakula ukoko wa kande lakini wanapinda kibyongo kama wanakula biriani... 😀 😀 🤣 🤣
Mshasahau 5 mlizofungwa juziWanakula ukoko wa kande lakini wanapinda kibyongo kama wanakula biriani... 😀 😀 😀
Tulishawahi kuwatundika bao tano mtungi na hakuna aliyeringa. Nyie Mpaka mabango barabarani...
Juzi nilikwambia umepungukiwa akili, ona SasaKocha anawezaje kwenda kinyume na matarajio ya klab? Kwani yeye ndiyo mchezaji??
Kote huko ulikuwa unadanganya Mtani hiki ndio lengo la uzi wako sasa.Yanga timu inayoendeshwa kimauzauza.
View attachment 2862423
Hivi haya mauza uza alilipia nani?? Yanga inaendeshwa kimazingaombwe kama enzi za mwanamazingaombwe Profesa Singira.
Kote huko ulikuwa unadanganya Mtani hiki ndio lengo la uzi wako sasa.
Ktk timu zinazoendeshwa hovyohovyo uto ni ya kwanzaBahati mbaya Yanga haiendeshwi kijanja janja.
Nayaheshimu mawazo yako. Ila ikitokea mtu akakuuliza zilipo bilioni 20 za mwekezaji, usikimbilie kuporomosha matusi.Ktk timu zinazoendeshwa hovyohovyo uto ni ya kwanza
mnajisahau sana utopolo, alieongea ukweli kwa kuwafananisha na nyani sasa hivi yupo kwao uholanzi.Yanga sio wahuni kama timu nyingine kama ulivyoainisha hapo. Kocha ataponzwa kwa kwenda kinyume na matarajio waliyowekeana kwenye mikataba na sio mambo mengine. Its all about proffessionalism not otherwise
Ndugu kolo kunitukana mimi hakutabadilisha uhalisia wa umbumbumbu mlionao. Nenda ka deal na Rage umuulize aliona nini kuwapatia cheo cha umbumbumbu na ni kweli akalenga mulemule vichwa vimejaa maji.mnajisahau sana utopolo, alieongea ukweli kwa kuwafananisha na nyani sasa hivi yupo kwao uholanzi.
na unyani wenu bado mnaendelea kuumiliki.
nyani ni nyani tu[emoji3][emoji3].
Watu wanatafuta furaha kwa nguvuKote huko ulikuwa unadanganya Mtani hiki ndio lengo la uzi wako sasa.