Gamond "Young Africans na Azam FC wamekuwa na michezo bora msimu huu"

Gamond "Young Africans na Azam FC wamekuwa na michezo bora msimu huu"

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Young Africans na Azam FC wamekuwa na michezo bora msimu huu, najua kesho kutakuwa na upinzani mkubwa na sisi tumejiandaa na hilo

Mchezo huo wa Fainali utapigwa katika uwanjwa wa New Amaan Complex Zanzibar saa mbili na dakika 15 usiku
Nani kusepa na kombe hilo?
Snapinsta.app_447465789_1007174274741779_4508619587831905698_n_1080.jpg
 
Binafsi nitafurahia Yanga ikishinda kwenye hiyo mechi ya fainali. Na si vinginevyo.
 
Back
Top Bottom