Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Tabora na Azam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee timu moja imepakazwa haya majina yote😂Sisi ndiyo Simba SC AKA;
1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu).
25. Manguruwe SC. View attachment 3153380
Nasikia lazima kocha awe wa dini ile. "Hatutaki makafiri kwenye klabu yetu" alisikika injinia mmoja akiropoka. Huyu amekuja eti hataki pombe, nani kamwambia klabu ni madrasa?Kuna wengi wasiojua kiini kikuu kilichofanya gamond aondolewe na kufungashiwa virago, wengi wao wanadhani sababu kuu ni kufungwa na Azam na Tabora united, icho kitu akikuwa kipaumbele kwenye tathmini ya viongozi kwakuwa Mpira unayo matokeo matatu,,lakini kwa mujibu wa source ya ndani kabisa yafuatayo yamemuondoa gamond;
1) Ubaguzi wa
wachezaji,,Gamond alikuwa ana tabia ya kuwabagua wachezaji wale ambao alikuwa anaona awataki kwenye timu, jambo ambalo lilitengeneza mpasuko kwa wachezaji wenyewe, mfano mdogo ni kutopangwa kwa kibwana shomari wakati Yuko fit na badala yake akawa anatumia Denis nkane ambae ni winga, jambo ilo lilileta taharuki ata aliposhauriwa akutaka kumsikiliza mtu yoyote!
2) Alikuwa ashauriki,,kwenye eneo hili alikuwa aambiliki bali alikuwa na msimamo wake usioyumbishwa, daktari wa timu aliwai kumshauri juu ya kiwango cha Aziz ki wakamuomba ampumzishe kwakuwa anaonekana kashuka sana kiwango inawezekana labda ni uchovu unamuandama baada ya kutumika sana kwa misimu miwili Kila mechi lakini gamond aliziba pamba masikioni akawa anamng'ang'ania wakati anao wachezaji wengine wanaweza kucheza iyo nafasi vizuri tu kama duke abuya!
3) Mifumo yake kutobadilika,,katika hili lilikuwa linaonekana dhahiri shahiri kwamba makocha wengi walishamsoma aina ya mifumo anayotumia na alikuwa awezi kubadilika kulingana na mazingira, ndio maana timu nyingi zilikuwa zikipaki bus biashara inakuwa ngumu kwa Gamond kupata matokeo kitu kilichopelekea timu kupata ushindi wa kusuasua kwa mda mrefu!
4) Matokeo ya Azam na Tabora united,,,yale matokeo yalikuwa ni kama kuongeza petroli kwenye moto unaowaka, yaliongeza kasi ya kuondolewa kwa gamond na katu asingetoboa kwa maana tiyali viongozi walishamuweka kwenye tathmini ya kina juu ya mwenendo wake kiujumla!
5) Kupoteza uwezo wa kusimamia nidhamu ndani ya timu,,jambo hili lilikuwa linaonekana ata kwake yeye Gamond alikuwa anagombana ovyo mara na waamuzi mara na viongozi wa timu pinzani kitu ambacho kilienda mpaka kwa wachezaji ambao walikuwa wameanza kutoheshimu nidhamu kwenye benchi la ufundi na mpaka jana kspigwa faini ya milioni 2 na kukosa michezo 3 kwa kosa la kumpiga ngumi msaidizi wa singida black star!
Kiufupi mambo hayo yamemuondoa gamond na tunamtakia Kila la kheri uko aendako!
SASA Mzee Chama bila pombe itakuwaje?Nasikia lazima kocha awe wa dini ile. "Hatutaki makafiri kwenye klabu yetu" alisikika injinia mmoja akiropoka. Huyu amekuja eti hataki pombe, nani kamwambia klabu ni madrasa?
Hapa sababu ni mmoja tu nidhamu na maugomvi ndani ya team hakuna sababu nyingine wazungu wanasema kupoteza dressing room. Suala sijui mifumo ni ujinga tu wako Huko Liverpool miaka kumi wanajulikana wanaingia uwanjani 433. Dr wa team ni kumpa update kocha kama mchezaji kaumia na maendeleo sio fitness coach. Hii visababu vya kijinga eti Azizi katumika sana wakati league ndio kwanza imeanza kwa mechi gani mpaka achoke? wewe professional player kazi yako kuwa fit kukabili msimu mzima likizo unapata mwezi kwa mwaka. Kina Mo Salah kila mechi wamo na sio wamo wanakasirika kama hawachezi au wakitolewa na kule hawachezi na Ihefu wanacheza na vizume kila wiki watu hawataki kukaa bench eti Aziz kachoka, sema waache starehe kwenye mishisha huko na club lakini mtoto mleavyo ndio akuavyo. Siku ya utambulisho mliletea malaya uwanjani mkamkabidhi na yeye katekeleza........Kuna wengi wasiojua kiini kikuu kilichofanya gamond aondolewe na kufungashiwa virago, wengi wao wanadhani sababu kuu ni kufungwa na Azam na Tabora united, icho kitu akikuwa kipaumbele kwenye tathmini ya viongozi kwakuwa Mpira unayo matokeo matatu,,lakini kwa mujibu wa source ya ndani kabisa yafuatayo yamemuondoa gamond;
1) Ubaguzi wa
wachezaji,,Gamond alikuwa ana tabia ya kuwabagua wachezaji wale ambao alikuwa anaona awataki kwenye timu, jambo ambalo lilitengeneza mpasuko kwa wachezaji wenyewe, mfano mdogo ni kutopangwa kwa kibwana shomari wakati Yuko fit na badala yake akawa anatumia Denis nkane ambae ni winga, jambo ilo lilileta taharuki ata aliposhauriwa akutaka kumsikiliza mtu yoyote!
2) Alikuwa ashauriki,,kwenye eneo hili alikuwa aambiliki bali alikuwa na msimamo wake usioyumbishwa, daktari wa timu aliwai kumshauri juu ya kiwango cha Aziz ki wakamuomba ampumzishe kwakuwa anaonekana kashuka sana kiwango inawezekana labda ni uchovu unamuandama baada ya kutumika sana kwa misimu miwili Kila mechi lakini gamond aliziba pamba masikioni akawa anamng'ang'ania wakati anao wachezaji wengine wanaweza kucheza iyo nafasi vizuri tu kama duke abuya!
3) Mifumo yake kutobadilika,,katika hili lilikuwa linaonekana dhahiri shahiri kwamba makocha wengi walishamsoma aina ya mifumo anayotumia na alikuwa awezi kubadilika kulingana na mazingira, ndio maana timu nyingi zilikuwa zikipaki bus biashara inakuwa ngumu kwa Gamond kupata matokeo kitu kilichopelekea timu kupata ushindi wa kusuasua kwa mda mrefu!
4) Matokeo ya Azam na Tabora united,,,yale matokeo yalikuwa ni kama kuongeza petroli kwenye moto unaowaka, yaliongeza kasi ya kuondolewa kwa gamond na katu asingetoboa kwa maana tiyali viongozi walishamuweka kwenye tathmini ya kina juu ya mwenendo wake kiujumla!
5) Kupoteza uwezo wa kusimamia nidhamu ndani ya timu,,jambo hili lilikuwa linaonekana ata kwake yeye Gamond alikuwa anagombana ovyo mara na waamuzi mara na viongozi wa timu pinzani kitu ambacho kilienda mpaka kwa wachezaji ambao walikuwa wameanza kutoheshimu nidhamu kwenye benchi la ufundi na mpaka jana kspigwa faini ya milioni 2 na kukosa michezo 3 kwa kosa la kumpiga ngumi msaidizi wa singida black star!
Kiufupi mambo hayo yamemuondoa gamond na tunamtakia Kila la kheri uko aendako!
Hakuna jina hata 1 lililopakazwa hapo, kila jina lina maana yake tokana na tukio husika kwa wakati flani,mazingira flani, Wachezaji, Wasemaji, Mashabiki mbali mbali kutenda na kuzungumzia klabu ya Simba.Aisee timu moja imepakazwa haya majina yote😂
Haya uliyoandika ni marudio ambayo wenzio walikuwa wakiandika ila ulikuwa unakaza shingo leo unakuja kujifanya taarifa za ndani!Kuna wengi wasiojua kiini kikuu kilichofanya gamond aondolewe na kufungashiwa virago, wengi wao wanadhani sababu kuu ni kufungwa na Azam na Tabora united, icho kitu akikuwa kipaumbele kwenye tathmini ya viongozi kwakuwa Mpira unayo matokeo matatu,,lakini kwa mujibu wa source ya ndani kabisa yafuatayo yamemuondoa gamond;
1) Ubaguzi wa
wachezaji,,Gamond alikuwa ana tabia ya kuwabagua wachezaji wale ambao alikuwa anaona awataki kwenye timu, jambo ambalo lilitengeneza mpasuko kwa wachezaji wenyewe, mfano mdogo ni kutopangwa kwa kibwana shomari wakati Yuko fit na badala yake akawa anatumia Denis nkane ambae ni winga, jambo ilo lilileta taharuki ata aliposhauriwa akutaka kumsikiliza mtu yoyote!
2) Alikuwa ashauriki,,kwenye eneo hili alikuwa aambiliki bali alikuwa na msimamo wake usioyumbishwa, daktari wa timu aliwai kumshauri juu ya kiwango cha Aziz ki wakamuomba ampumzishe kwakuwa anaonekana kashuka sana kiwango inawezekana labda ni uchovu unamuandama baada ya kutumika sana kwa misimu miwili Kila mechi lakini gamond aliziba pamba masikioni akawa anamng'ang'ania wakati anao wachezaji wengine wanaweza kucheza iyo nafasi vizuri tu kama duke abuya!
3) Mifumo yake kutobadilika,,katika hili lilikuwa linaonekana dhahiri shahiri kwamba makocha wengi walishamsoma aina ya mifumo anayotumia na alikuwa awezi kubadilika kulingana na mazingira, ndio maana timu nyingi zilikuwa zikipaki bus biashara inakuwa ngumu kwa Gamond kupata matokeo kitu kilichopelekea timu kupata ushindi wa kusuasua kwa mda mrefu!
4) Matokeo ya Azam na Tabora united,,,yale matokeo yalikuwa ni kama kuongeza petroli kwenye moto unaowaka, yaliongeza kasi ya kuondolewa kwa gamond na katu asingetoboa kwa maana tiyali viongozi walishamuweka kwenye tathmini ya kina juu ya mwenendo wake kiujumla!
5) Kupoteza uwezo wa kusimamia nidhamu ndani ya timu,,jambo hili lilikuwa linaonekana ata kwake yeye Gamond alikuwa anagombana ovyo mara na waamuzi mara na viongozi wa timu pinzani kitu ambacho kilienda mpaka kwa wachezaji ambao walikuwa wameanza kutoheshimu nidhamu kwenye benchi la ufundi na mpaka jana kspigwa faini ya milioni 2 na kukosa michezo 3 kwa kosa la kumpiga ngumi msaidizi wa singida black star!
Kiufupi mambo hayo yamemuondoa gamond na tunamtakia Kila la kheri uko aendako!
Daah kumbe Gamondi wawatu amefukuzwa bure tu.
Kubadili mfumo kunahitaji uwe na aina ya wachezaji ambao ni multi-talented wanaoweza kucheza eneo zaidi ya moja kiwanjani na wakakupa kitu kile kile. Bro unaongea ushabiki yani hao wachezaji unasema yanga hawana ila simba mnao sio? Kibabage maxi abuya hao ni wazee wanacheza nafasi moja tu! Ukija mbele ni baleke tu ndie anacheza namba tisa rungu wengine wote inaweza kuwapeleka pembeni na wakakupa game nzuri kabisa
Kwa pale Yanga wachezaji mlionao ni wachache sana wenye uwezo huo, hata hao wachache mlionao bado nao wana changamoto ya umri hawawezi kukupa kitu kwa accurancy kubwa kwasababu tayari wamechoka.
Kairudie game yenu na Azam utaona Gamondi alijaribu ku switch kumchezesha Maxi kama kiungo mkabaji lakini mchezaji mwenyewe hakuonekana ku fit kwenye eneo hilo.
Mechi yenu na Tabora, timu ilipokuwa inashambulia Aucho alisimama kama kiungo lakini timu ilipokuwa inashambuliwa Aucho alikuwa anacheza kama center back.
Sasa mfumo gani mwingine nyinyi mliokuwa mkipenda kuuona? Au kwenu tafsiri ya mfumo upo supported na matokeo?
Kwamba akibadilisha mfumo halafu mkapoteza pointi, kwenu hiyo hamuihesabii kama ni sehemu ya kubadili mfumo?
Bro naona unaongelea ushabiki na kutia propaganda kama ilivyo desturi yenu mashabiki wa simba wachukue kibabage maxi abuya hao wanacheza nafasi moja na ni wazee! Ukija mbele ni baleke tu ndie namba 9 rungu wengine wote inaweza kuwachezesha pembeni na wakakupa game nzuri tuDaah kumbe Gamondi wawatu amefukuzwa bure tu.
Kubadili mfumo kunahitaji uwe na aina ya wachezaji ambao ni multi-talented wanaoweza kucheza eneo zaidi ya moja kiwanjani na wakakupa kitu kile kile.
Kwa pale Yanga wachezaji mlionao ni wachache sana wenye uwezo huo, hata hao wachache mlionao bado nao wana changamoto ya umri hawawezi kukupa kitu kwa accurancy kubwa kwasababu tayari wamechoka.
Kairudie game yenu na Azam utaona Gamondi alijaribu ku switch kumchezesha Maxi kama kiungo mkabaji lakini mchezaji mwenyewe hakuonekana ku fit kwenye eneo hilo.
Mechi yenu na Tabora, timu ilipokuwa inashambulia Aucho alisimama kama kiungo lakini timu ilipokuwa inashambuliwa Aucho alikuwa anacheza kama center back.
Sasa mfumo gani mwingine nyinyi mliokuwa mkipenda kuuona? Au kwenu tafsiri ya mfumo upo supported na matokeo?
Kwamba akibadilisha mfumo halafu mkapoteza pointi, kwenu hiyo hamuihesabii kama ni sehemu ya kubadili mfumo?
Wee mzee wa unyevu nyevu...Sisi ndiyo Simba SC AKA;
1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC. View attachment 3153373
Mlibwende Makolokolo nimekumiss na vituko vyako kuwananga Utopolo 🤣Wee mzee wa unyevu nyevu...
Tabora 3 Utopolo 1
Simba 5 Utopolo 0
Simba ni kama Arsenal kwa misimu hii hapo juu atashuka tuYani mpaka wasemeèee..bado hawajasema
Mzee wa bango... 😆 😆 😆Mlibwende Makolokolo nimekumiss na vituko vyako kuwananga Utopolo 🤣
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Hi Mlibwende wa nguvu, naamini ni wewe pekee ndiye utanituliza na mabango yangu kama ulivyofaulu kwa Laban Og 😁Mzee wa bango... 😆 😆 😆
Ahahhaha hivi kafia wapi??.jamani mumtafute asije akawa amejinyonga...Hi Mlibwende wa nguvu, naamini ni wewe pekee ndiye utanituliza na mabango yangu kama ulivyofaulu kwa Laban Og 😁
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.