Gamondi ana nipa wasiwasi na quality yake, I will do background check why he was fired in previous team

Gamondi mechi ya Jana naamini hakuipania kwa 100% maana yanga hajakosa kitu ,yoyote atakayekuja Kwenye robo fainali ni halali kwa yanga.

Hata hakumchezesha max na Augustine okra hio inaweza kuleta Picha ya plan ya gamondi .

Al ahly akiwa kwao sio timu ya mchezo na hata mechi ya Jana kosa la Yao kutokukaba nafasi yake ndiyo ilisababisha goli la Al ahly .

Yanga mechi ya Jana walitengeneza nafasi kadhaa za kufunga wakashindwa kufunga , na Jana wachezaji walifanya makosa madogo madogo yasiyokuwa na ulazima mfano mtu anataka apige chenga au mbwembwe nyingine pasipo umuhimu .

Nafikiri tatizo lipo kwenye fikra za wachezaji wa yanga sio gamondi , kutokana na takwimu yanga akishacheza mechi na kupambana kwa asilimia 100 mechi inayofuata anabweteka na kutoweka mwendelezo chukulia mfano baada ya kumpiga simba 5 mechi iliyofuata wakabweteka na kufungwa 0-3 na belouzidad, hivi karibuni ametoka kumpiga belouzidad 4 Jana wachezaji wakawa wame relax chenga nyingi kanzu nyingi .

Yote kwa yote gamondi apewe wachezaji bora ni kocha mzuri Hata ubingwa anakupa , Al ahly wametumia mabilioni ya shilingi kusajili Mpaka wamemchukua mchezaji mkubwa wa ulaya .
 
Cheki kiinglish chako! Hii ni hatari
 
Ongeza na hili...

Huwa hana plan B timu inapozidiwa maarifa, kama ulicheki mwanzo mwisho kwa mechi ya jana alishindwa kabisa kubadili upepo baada ya waarabu kumzidi maarifa.
Angemuingiza nani kina Nabi weye plan B sahivi kwenye champion league wako wapi,, tano nadharau kocha aliyefunga magoli mengi kwenye group stages,
 
Yanga haina constituency??
 
Achana nae huo ni mkakati wa makolo na hawataweza
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtanii kwemaaa?
 
tulia kaka tulia,gamondi yupo vizuri sana
 
How is it, in entrepreneurship we are being taught not to speak I'll of your competitors
 

Ww mpira haukufai kafuatile marede.

Naona umewaona Kaizer wanaojua makocha na uzuri habari umeileta ww mwenyewe.
 
Shenzi type, kiko wapi sasa?
 
Duh....na wewe ikawaje tena?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…